Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Sasa nchi itatawalika vizuri. Mafisadi wanaanza kuondoka nchi taratibu safi sana.
 
maisha baada ya uchaguzi.
Naiyona tanzania mpya yenye maendeleo. Hakika mungu akutie nguvu akuondolee tamaa akujaze uchungu wa maisha ya watanzania.

Tumekuamin mr president magufuli hebu onyesha kuwa waliokuchagua hawakukosea.



Mungu awe nawe daima ktk mda wote wa uongozi wako.

dah amina mkuu..naomba mungu amjalie ilo..asitusahau sisi masikini tulio wengi..sio lzm atupe pesa mfukoni ata akishusha bei ya bati na cement amaetenda
 
rais wa nec asubilie migomo tu mpaka wa mabeki 3 maana hakuna namna ya kumkataa zaidi ya migomo
 
Ukawa vichaa ndio maana mnadeki lami kuonyesha ukichaa wenu
 
Huyu ndiye Rais Mteule wa Tanzania aliyechaguliwa na watu milioni 8.8 kati ya watanznia milioni 48 including watoto wetu.

Kazi kwetu watanzania


Watanzania wa leo ni milion 53.
 
Hakika toka moyoni mwangu, Magufuli si rais wangu bali ni rais wa ccm. Ila kwa katiba iliyopo atanitawala kilazima. My heart to cdm and ukawa, shall remain.
 
Kama ni jembe au shoka tutajua akianza kuingia kufanya practical ila kwa sasa tusijisifu kwa lolote. Halafu kumbuka rais ni institution siyo mtu. Kama wanaomzunguka hawatampa support ni sawa na kuwa na injini nzuri mpya ya gari lakini isiyo na bodi wala magurudumu . Engine itakuwa na efficiency kubwa na kuendelea kula mafuta tu lakini hiyo gari haita move. Hivi ndivyo ninavyomfananisha Magufuli ambaye ni engine isiyokuwa na supporting system kumwezesha kufikia malengo
 
Bila shaka, manung'uniko kila kona, hasa kufuatia utabiri wa January Makamba kwamba Magufuli lazima atanganzwe leo. Kumekuwepo ujuma za wazi hasa ushahidi wa Matokeo ya kule Bumbuli ambayo yalikuwa dhahiri kabisa kwamba mchezo fulani ulichezwa. Hii inatuacha kutafakari kwamba je Magufuli ni Rais wa NEC au wa Watanzania

Huyo ni rais wa tanzania mkipenda msipende
 
Back
Top Bottom