Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Mm nadhani ukawa tusikubali. Vinginevyo ccm itatawala mpk mwisho wa dunia. Utaiitoa vipi wakati tume haihojiwi wala kushitakiwa mahakamani?
Hata ikitokea ccm imepata 0% tume itaipatia ccm ushindi na hatutaifanya lolote.
Hiki ndicho kilichofanywa leo. Lowassa amepeleka malalamiko tume ili isiendelee kusoma matokeo. Lakini wamekaidi na hatimaye wamemtangaza mshindi.
VOA: multi-partism in Tanzania is on paper but practically it is a mono-party state.
Kubali yaishe, ulimpenda Lowassa lakini watanzania wengi Zaidi walimpenda Magufuli.
 
?Maendeleo? ya binadamu sio ya moja kwa moja (Automatic) na wala hayategemewi kuja yenyewe tu. Kila hatua kufikia lengo husika inahitaji Kujitolea,mateso na mapambano ya hali na Mali!!Tunahitaji juhudi zisizokoma na harakati zisizokwisha kwa kila mmoja wetu pale haki inapobinywa,ujinga unapotamalaki na tabaka moja linapojiona lina ?HAKI MILIKI ? ya nchi na rasilimali zilizopo na kuzitumia rasilimali hizo kuwagandamiza wengine!!..MOYO WANGU UNALIA MACHOZI YA DAMU!!!NIMEUMIZWA SANA!!
#hapakazitu
Kama unahitaji mabadiliko yafate monduli!
 
Ni kweli kwamba hii mahakama yaweza kuanzishwa. Tatizo ni kwamba haitakuwa mahakama ya kuwawajibisha mafisadi, bali itakuwa ni ya kuwasafisha. Poleni sana watanzania.
 
Ni wa kulazimisha, kuongozo watanzania mil.48 kwa kura 8m tena za mashaka. Asijitape. Bora yule wa kura za kweli mil 10 na ushee kati ya mil 15 na ushee waliopiga kura? Too shameful.
 
cjawah kuona rais anatangazwa wananchi wapo kimya Yani dar kimya kama kuna msiba wa kitaifa hv mfano lowassa ndo angekuwa ndo mshind cjuh ingekuwaje mda huu

Kwahiyo?? Uliza shinyanga hapa hali ikoje???
 
wewe unaamini fisadi na timu yake ya wapiga dili wangekuondolea hayo matatizo.husijifanye unazijua sana shida za watanzania.watanzania wanajua shida zao na wamemuamin jpm kua ndie mtu sahihi kwao wa kushughlika na shida zao.huwezi kuzungumza kwa niaba ya watanzania mil8.
Kwahiyo kwa mtazamo wako unaamini kwamba Pombe ndiye atakeyetuondolea haya matatizo? Je! Chui anaweza kujibadilisha madoadoa yake? Kama anaweza, Basi Pombe pamoja na CCM wanaweza kutuondolea matatizo haya.
 
Education is the long life process ,kwa kifupi Watanzania bara hawajajitambua
 
Tanzania kama Taifa lipo katika wakati ?tata?, kiuchumi kamataifa, kimaadili, kimaendeleo na pia inakabiliwa na maadui wakubwa sana wanaolidhoofisha taifa na kuliangamiza kabisa. Rushwa imekuwa adui mkubwa sana,kuanzia ngazi za chini kabisa mpaka za juu kabisa za uongozi na huduma zakijamii, Rushwa sasa imekuwa ni sehemu halali ya kipato chao cha kawaida chawatu Fulani katika sekta tofauti tofauti za umma hata binafsi.
Ufisadi ni zao la Rushwa, tena kubwa kubwa, nalo katikakipindi cha miaka ya karibuni imeonekana kushamiri vibaya sana, na kupelekeamvutano mkali kati ya Bunge na Serikali, ufisadi umedhoofisha baadhi ya sektana huduma muhimu kwa umma wa waTanzania.
Usiri wa mikataba inayo ingia serikali kuhusu Rasilimali zetuwatanzania, imekuwa ni jadi mikataba kutowekwa wazi ili watanzania waione,waielewe na wahoji matokeo/manufaa ya hiyo mikataba kwa pande zote, hili nalolimeonekana ni tatizo jingine kubwa sana, ambalo Serikali isipo jipangalinaweza kuwa ndio bomu au ombwe katika serikali ya awamu ya Tano, Mzee mwinyi alisema, Kila kitabu kina zamazake.

Umoja wetu wa kitaifa umetikisika hasa katika mchakato mzimawa uchaguzi wa mwaka huu, kusema ukweli ukabila na ukanda vimeonekana wazi wazibila ya kificho.
Rais wetu Magufuli, unayo kazi kubwa sana mbele yako, ambayoinahitaji mtu alien a msimamo, mtu anayeheshimu kiapo/viapo vyake na mtu anayesema kwa vitendo, mimi naamini uwezo huo unao na wewe ndie Yule ajae, atakaewakomboa watanzania, katika nyakati hizi ngumu kiuchumi.
Endelea na msimamo wako uleule uliouonyesha tangu zamani,usilewe madaraka na zaidi ya yote timiza ahadi zako.
Hongera sana Rais Mteule Magufuli.
 
Mm nadhani ukawa tusikubali. Vinginevyo ccm itatawala mpk mwisho wa dunia. Utaiitoa vipi wakati tume haihojiwi wala kushitakiwa mahakamani?
Hata ikitokea ccm imepata 0% tume itaipatia ccm ushindi na hatutaifanya lolote.
Hiki ndicho kilichofanywa leo. Lowassa amepeleka malalamiko tume ili isiendelee kusoma matokeo. Lakini wamekaidi na hatimaye wamemtangaza mshindi.
VOA: multi-partism in Tanzania is on paper but practically it is a mono-party state.

Ingieni msituni!
 
Ukweli unaonyesha UKAWA imelega ktk mkakati wa ushindi ndio chanzo cha kushindwa. Ngojangoja imetuumiza matumbo tulitakiwa tujipange kiulinzi sana. Tumepwaya sana kulinda ishindi wetu ndio maana ndugu zetu wamrshinda kirahisi. Hakuna jinsi tena nikijipanga kwa uchaguzi ujao.
 
Back
Top Bottom