Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Maeneo mengi ccm imepata kura nyingi ndiyo biashara ya utumwa ilishamiri na ndio machifu walitawala kama miungu kwa kuuza watu utumwani,maeneo ambayo ukawa wamepata kura nyingi ni maeneo ambayo wakoloni waliwaogopa wakawajengea shule na miundo mbinu na kuwatumia kama makarani na manyapala,na hata ccm inafuata mkondo huohuo maeneo ambayo wana jenga miundo mbinu na huduma za jamii ndiyo waliopigia ukawa na hata ukifanya sensa vyuo vikuu utapa ramani hiihii walio wengi wanatoka maeneo haya.
hivi watawala wana siri gani juu ya hili?
 
Hata Magufuli anajua kuwa hakushinda kihalali na asifikiri kuwa ndio imepita ,upinzani wa leo ni mkubwa sana na atakaposimama ,kwa kweli atakuwa hana nguvu ,kwani ukweli unajulikana kama hakushinda ,haya tusubiri ale hicho kiapo kwa Mungu wake ili aanza kupokea adhabu ya kuongopa mbele ya Mungu.

Unafikiri kiongozi aneshinda kwa hila atakuwa na habari na huruma na wewe ,hata kama upo CCM ,hivi anakujua wewe kama ndie uliempa kura ,marungu yanayokuja hayatawakumba wapinzani bali kwa kweli watakaoumia zaidi ni wale waliosheherekea ushindi usio wa kihalali. Hii ndio siri watakaoumia na kujuta ni ccm na mapolisi.
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana unaomba chama cha upinzani kife ili iweje?vyama vya upinzani ndo vimefanya watz waijue serikali yao ilivyo ktk utendaji mimi kwa mtazamo wangu ningeomba viimarike ili serikali iwe makini.Nilikuwa na mengi ya kukuelimisha lakni muda sina ahsante
 
Hilo halishangazi hata kidogo. Katika wale million 23+ waliojiandikisha:-

Kuna watu kwa sababu mbalimbali hawawezi kupiga kura (kusafiri, kuugua nk)

Kuna kundi kubwa waliochukua vitambalisho vya mpiga kura kwa lengo la kuwa na kitambulisho tu ili wakihitaji kwa mfano kusajili simu isiwe shida.

Kuna watu ambao shughuli zao za kuingiza kipato hazikuwapa nafasi ya kupiga kura. Baadhi ya waendesha bodada kwa mfano, wasingeacha kuchukua abiria eti akapange foleni ya kupiga kura.

Kuna watu huwa hawana sababu yoyote ya maana. Kama waliopiga kura wamefikia zaidi ya asilimia 60, ni kiwango kikubwa kwa vigezo vya nchi nyingi.
 
Tumaini Letu Na Imani Yetu Tumekuamini Tukitegemea Ufatiliaji,
Uwajibikaji, Uadilifu Na Uchapakazi Kwa Serikali Ya Awamu Ya Tano.
Hongera Kwa Ushindi Na Tunakutakia Maazimisho Mema, Mazuri Kwa Ushindi Na Siku Yako Ya Kuzaliwa Mheshimiwa Rais Mteule Wa Awamu Ya5 Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
HAPPY BIRTH DAY HONOURABLE PRESIDENT!!!!
 
Kilichobaki baada ya kutangazwa mshindi ni yeye kuapishwa na kuwa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa namna uraisi wake ulivyopatikana, atakuwa na sifa zote hizo mbili kama raisi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi hii?
 
Ameshinda kwa asilimia 58.4% the lowest percent in history of Tanzania

Kwani mpaka sasa tuna chaguzi ngapi? Bado tuko taifa dogo ktk democrasia na alikuwa anashindana na monster, yaani a very powerful candidate!
 
Wewe kweli ni PUMBAVU NA LOFA Kwahiyo mpaka watoto wadogo wamepiga kura

Wewe ndiyo chizi na zezeta.

Unataka kuniambia watoto siyo Watanzania? Ndiyo maana kuna mijitu ilishindwa shule kwa sababu badala ya kusoma swali na kuelewa anakurupuka kujibu!!!Elewa message yangu rafiki. Mantiki yangu ni kwamba kachaguliwa na watu milioni 8 kati ya Watanzania milioni 50 na siyo wapiga kura milioni 50!!! Kumbuka waliojiandikisha ni milioni 22.75 sasa hiyo hesabu yako ya watoto siijuia umeitoa wapi....! Soma swali, elewa ndipo ujibu swali, acha kukurupuka!

Wewe ni zezeta waheed,
 
Baada ya magufuri kushinda uraisi .serikali imesema wanataka kufanya biashara ya mkaa kua rasmi.hivyo kuanzia sasa wauza mkaaa watakua wanalipa kodi source channel 5
 
Tume ya Uchaguzi imetangaza matokeo ya urais na kumhalalisha Dr John Magufuli kuwe ndiye raisi mteule kwa mwaka 2015 - 2020

UPINZANI walijitahid kuunda umoja ili kuupinga mfumo dume wa Chama Tawala ( CCM ).

Tumepiga kura tarehe 25 kuchagua viongozi ili watuongozee taifa letu ndan ya miaka mingine mitano.

Je maamuzi tuliyoyafanya 25, kama ni ya ukweli, matokeo yake tumekichagua chama ambacho kimetufikisha hapa baada ya miaka zaidi ya 30 ya UHURU, kama yalivyotangazwa na tume ya uchaguzi

Kwa mfumo wa CCM, tumejiingiza tena katika ule ule mfumo ambao tumekua tukiukataa miaka yote

Je ni nani alaumiwe, UPINZANI, CHAMA TAWALA au MWANANCHI..?
 
Inaonekana hujitambui.Kwa watu wanaotumia akili ya kuzaliwa na ya shule wamenielewa vizuri sana.
Lakini kwa mijitu kama wewe mnaotumia Didas masaburi kufikiri ndiyo una weza kuuliza swali la kipuuzi kiasi hicho.

Pole sana.

Wengine tulijiandikisha hili tupate vitambulisho sio tupige kura , kwani tupige kura ya nini ukishaona tingatinga likiingia na kushindana na kibabu choka
 
Back
Top Bottom