Hii sentensi ni ya masiba ama ulevi wa chama. Dr, M alikuwa mtumishi wa Umma na mwanachama wa NCCR M. Acheni kupotosha kuhusu laptop. Ofisi ndipo mahali SALAMA kuhifadhi kila jambo muhimu lililopangwa na hii TUME YA KATIBA. Tume haikuwa na mtu mmoja tu Dr, pekee, kila lililo nyeti lipo Ofisi ya tume. Kama mtu nduguye ndo amehusika na ushenzi huu ndo tayari wamekamatwa na hii eti CCM, CDM majina haya Kova hajatamka bali vimeonyeshwa vifaa tu. Tusubiri uchunguzi ukamilike ndipo tuambiwe kama waliokamatwa ni wahuni wa ktk vyama ama wa mitaani tu ama wa kununuliw!!! Kuhusu uhalifu kupanuka Serikali itambue kuwa sasa ifanye uchunguzi wa kina ijiridhishe ni kwa jinsi gani wahalifu wanapata ajira ndani ya Serikali na maeneo mengine nyeti. Pili lililo kuu Askari wanaposhiriki Opareshe ya aina ye yote ili zaidi uvunjaji wa SHERIA za NCHI HURU TZ, baada ya kupambana na wahuni wahalifu, na pindi wanapo umia ama kufa eti wanasiasa wanaunda TUME kuwatetea wahalifu sababu ni ndugu zao. Askari mwema mtoto wa mkulima anaburuzwa mahakamani eti muuwaji.
Raia tunapiga kelele pindi tukio kama hili la Dr M linapotokea zidi ya Serikali lakini hatupigi kelele pale wanapo undiwa TUME.ASKARI. TUKUBALI KUWA tuna TANZANIA POLICE FORCE na siyo TANZANIA POLICE SERVICE. WANASIASA NI AIBU KUBWA JESHI LETU LENYE UWEZO TULIOUONA KTK NCHI TANO KUSINI NA SASA KASKAZINI NA JUZI TU TUMEONA DRC. WAACHWE VIJANA WAREJESHE NIDHAMU KWA GHARAMA YEYOTE ILE. MAMBO KAMA HAYA HAYATATOKEA TENA
KUNA NCHI MOJA EAC MADUKA UTAYAKUTA WAZI HADI USIKU WA MANANE. Wanasiasa acheni mapezi kudanganya watu mm naamini mnacho penda kwangu ni kura tu. Siasa imejipa nguvu zaidi ya Sheria za Nchi. Mh Waziri Mkuu ukiona unatukanwa kusukwasukwa ni kuwa kazi unaiweza lakini ukiona mswahili anakusifu tu kila jambo mjuwe kuwa huyo Jangili. Tuna Jeshi la kutosha lipewa majukumu linaweza kukomesha maovu ya aina ye yote. Kichwa kilicho potea kukipata kingine ni baada ya miaka 40. SERIKALI ITAFAKARI SASA