Mgazini
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 293
- 39
Dr Sengondo Mvung, aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, amefariki leo majira ya Saa Tisa na nusu alasiri katika Hospitali ya Milpark huko Afrika Ya Kusini. Mungu ailaze Roho Yake Mahali Pema Peponi.
Source: HusseinBashe Tweets.
mungu ailaze roho yake mahala pema peponi,wale wote waliohusika wawajibishwe ipasavyo