Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema ndio wanaotakiwa kujibu issue ya dr kupigwa mapanga sha,wao ndo watakuw wahusika wakuu wa hili tukio!huu ni mwendelezo wa ile muvi ya kuteka watu na kuwatesa kama walivyofnya ulimboka
A very sad news for the members of the Bar, we shall miss you brother!! May your soul rest in peace!!
RIP Dr. Mvungi
chadema ndio wanaotakiwa kujibu issue ya dr kupigwa mapanga sha,wao ndo watakuw wahusika wakuu wa hili tukio!huu ni mwendelezo wa ile muvi ya kuteka watu na kuwatesa kama walivyofnya ulimboka
So painful
aheri mi nisiye na akili,kulikon ww mwenye nazo lakin umezikalia!!narudia tena kamwe hatutanyamazia upumbav na upuuzi mnaowafnyia wananchi.Chadema mauwaji yote yakutatanisha nyie ndo mnaohusika,na nawahakikishien hamtakaa muingie ikulu kuongoza nchi.mtaishia kwenda kunyw juice tu wauwaji wakubwa nyie.
Serikali hii inashindwa kutoa ulinzi kwa watu muhimu kama Dk Mvungi? Kweli, hii ndo ccm! Ee Mungu tunusuru..
bila shaka ccm ndo watakuwa wa kwanza salamu za rambi rambi! Tusisahau pia kuwa ccm ni mabingwa wa kuhudhuria misiba ya watu maarufu.
Lakini je wanaweza kujinasua na kifo hiki? Kama mjumbe wa tume ya katiba anauwa na vibaka itakuwaje kwa raia wa kawaida? Wajumbe wa tume wamekuwa wakilindwa muda wote imekuwaje kwa mvungi? Au ni baada ya kupendekeza serikali tatu?
Lakini uvamizi huu tunautofautishaje na wa kibanda au ulimboka? Je tunakumbuka maneno aliyosema mbatia bungeni? Kwa nini haridhiki kwamba ule ni uvamizi wa majambazi kawaida?
Tutarajie mkanda wa mkenya mwingine kuhusishwa au mara hii atakamatwa mchina, maana juzi tuliona wa pembe za ndovu msishangae kuona wa mauaji!