Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
comment ya balimar isihusishwe na chedema tafadhaliYour comment shows how short minded you are. Kwanini isiwezekane daraja kujengwa daraja kati ya Zanzibar na Tanzania Bara? Kwasababu Chadema imeshindwa kujenga ofisi za chama unafikiri basi wengine hawawezi kufanya mambo makubwa?
Huko nje hakuna wazanzibar bali kuna watanzania!
Sio kweli. Nimesoma nao huwa hawajitambulishi kama watanzania bali wazanzibar. Hasa wa kutoka pemba. Wanashirikiana wao kwa wao zaidi. Kinachowaunganisha ni paspoti tu ya tanzani ila damu yao imeandikwa zanzibar na hawajisahau kabisa.Huko nje hakuna wazanzibar bali kuna watanzania!
Comment kama umeingia darasani basi. Usipime urefu kwa visibility. Wewe unaziona nyota, haya leta umbali wake.Ukiwa pale Ununio kijijini taa zikiwashwa usiku Zanzibar unaziona bwashee!
Namshangaa.Kuziona hizo taa usiku doesn't really mean kuwa Stonetown au jambiani ni karibu kiivyoo!
Nazungumza kwa mujibu wa katiba!Kama umewahi kusafiri nje ya nchi utatambua waZanzibar wanavyojivunia uzanzibar Wao kuliko utanzania
Unguja wakipiga matarumbeta Ununio kijijini watu hawalali kwa hizo kelele!Comment kama umeingia darasani basi. Usipime urefu kwa visibility. Wewe unaziona nyota, haya leta umbali wake.
Matatizo ya kusoma MEMKWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna elimu hapa. Je wastani wa kuona kitu kwa umbali ni km au maili ngapi kwa binadamu? WATAALAMU TUSAIDIE. Najua TAI wanaona mbali kupita sisi kama sihakosea.Comment kama umeingia darasani basi. Usipime urefu kwa visibility. Wewe unaziona nyota, haya leta umbali wake.
Matatizo ya kusoma MEMKWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kati ya taa na mwanga bwashee!
Wewe utakuwa umesoma nao pale CBE au Ushirika moshi!Sio kweli. Nimesoma nao huwa hawajitambulishi kama watanzania bali wazanzibar. Hasa wa kutoka pemba. Wanashirikiana wao kwa wao zaidi. Kinachowaunganisha ni paspoti tu ya tanzani ila damu yao imeandikwa zanzibar na hawajisahau kabisa.
Ahahahahahaha! Ikihusishwa utafanyaje? Ahahahahahah!comment ya balimar isihusishwe na chedema tafadhali
Hakika mkuu litaanzia Ununio hadi Unguja......... Zanzibar tutaenda kwa daladala kama mlandizi au bagamoyo ukiwa na haraka sana Bodaboda itahusika!
Wala sijawahi kusoma shule za quin. Nilisoma nao uingereza kwa queen. Wengine wakabakia huko huko. Sis tunangangania ni wa TZ wao wanajitambulusha wazanzibar. Tena wana mtandao na mikutano yao tofauti na WATANGANYIKA.Wewe utakuwa umesoma nao pale CBE au Ushirika moshi!
Ndio hivyo balozi wao ni Migiro na mawaziri wao ni Palamagamba na Ndumbaro.......hakuna namna!Wala sijawahi kusoma shule za quin. Nilisoma nao uingereza kwa queen. Wengine wakabakia huko huko. Sis tunangangania ni wa TZ wao wanajitambulusha wazanzibar. Tena wana mtandao na mikutano yao tofauti na WATANGANYIKA.
Ufafanuzi mkuu umeongea kizenji zaidi!Hii habari ya Daraja la Dsm-Znz naisoma hapa nikiwa na Jirani yangu anaitwa Said Salim Bakhresa tunasema ‘..manijitahafa wajada ‘
sina cha kukufanya labda tu kuleta posa kwenuAhahahahahaha! Ikihusishwa utafanyaje? Ahahahahahah!