Yawezekana kabisaaa, ndivyo ilivyokuwa. Kunakofuka moshi, hakukosi moto.Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.
Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Magufuli(R.I.P) pamoja na ulimbukeni wake wa Kisiasa, alimuogopa zaidi Dr. SLAA kuliko Mstaafu.Au alinunuliwa ili akiyumbishe chama na baadae akapewa zawadi ya ubalozi
InachanganyaHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π
Dr Slaa Hana Bei.Magufuli(R.I.P) pamoja na ulimbukeni wake wa Kisiasa, alimuogopa zaidi Dr. SLAA kuliko Mstaafu.
Kitendo chake cha kumpeleka Dr. SLAA Ubalozini kilikuwa ni kumnyamazisha kidiplomasia(How ironic).
Mstaafu alishughulikiwa kwa mbinu zake mwenyewe.
Unaeza kusema alinunuliwa, ila kiuhalisia hanunuliki. Muulizeni DPP
Kimfumo alimleta sababu alikuwa katibu mkuu,Inachanganya
Lissu alisema "...aliyeshauri Chadema 2015 imchukue Llowasa ni W. Slaa"
Swali: Kama Slaa ndiye aliyeshauri? Vipi amkimbie?
Uchaguzi wa mwaka upi?Ujio wa Dr Slaa CHADEMA, utamsaidia sana M yika na team yake kuandaa Ilani ya Uchaguzi Bora sana.
Dr Slaa ni Asset!
Ikiwa yeye ndio kikwazo tutajuaje? Hata hivyo haaminiki tenaHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π
Hakuma uchaguzi, uchaguzi gani wa kusukuma watu wako wakatekwe na kuuliwa?Arudi asaidie chama pamoja na TL hasa kuongoza chama na ilani ya Uchaguzi
Dr Slaa upstairs Yuko njema, ndio maana Lema akakataa ukatibu mkuu maana Si KAZI ndogo,Arudi asaidie chama pamoja na TL hasa kuongoza chama na ilani ya Uchaguzi
Can't trust this manHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π
Inawezekana ikiwa hakupewa nafasi ya kuongoza na anaona kuna wajinga wanampa mafumba, why akosw vyote?Au alinunuliwa ili akiyumbishe chama na baadae akapewa zawadi ya ubalozi
Mzee usitiuingize chakaDr Slaa upstairs Yuko njema, ndio maana Lema akakataa ukatibu mkuu maana Si KAZI ndogo,
Ujio wa Slaa utamsaidia zaidi Mnyika kuwa imara kimilakati.
Dr Slaa anaaminika na kueleweka na Watanzania,Ikiwa yeye ndio kikwazo tutajuaje? Hata hivyo haaminiki tena
Nawe unaamini mtu mmoja Lowwassa ndiye aliyeleta kura nyingi na wabunge wale Kwa kuingia CDM ndani ya miezi miwili?Mzee usitiuingize chaka
Hata nyie mlishindwa kusoma alama za nyakati, (situational analysis)Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.
Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Jiwe alikuwa mzalendo π€π€π€π€π€Kimfumo alimleta sababu alikuwa katibu mkuu,
Mkt alipenyeza shinikizo ndani ya viongozi na katibu mkuu hakuwa na namna, ndio maana Lissu lidai Yeye na Mnyika walipewa taarifa so lately.
Ndio sababu ikambidi aachie ngazi sababu personally hakuwa tayari kumsafisha.
Dr Slaa ni victor. Lowassa alikuwa liability Kwa CDM, wengi tulivunjwa moyo Kwa ujio wake, tukaumuunga mkono mzalendo Magu.
Bt you trusted Lowwassa!Can't trust this man
Ndio mzalendo Hasa. Hilo nalo ni LA kujadili?Jiwe alikuwa mzalendo π€π€π€π€π€