Lakini ana kadi ya CCM na yey mwenyewe alikiri hilo hadharaniSlaa hakuwahi kurudi CCM, alichofanya ni kuachana na siasa lakini hakuwahi kupewa kadi wala kuvaa nguo za CCM wala hata kwenye makutano ya CCM hakuwahi kushiriki!
Tulishindwa kivipi mkuu?Hata nyie mlishindwa kusoma alama za nyakati, (situational analysis)
Aliye waondoa walinzi area D ni nani siku ya tukio, askari hupangiwa zamu Kwa mpangilio maalum, (duty roster), nani aliwapangia zamu siku ya tukioTulishindwa kivipi mkuu?
Kama ana kadi ya CCM aliipata miaka mingi sana kabla haijaingia chadema , kadi kama hiyo hata Mbowe anayo!Lakini ana kadi ya CCM na yey mwenyewe alikiri hilo hadharani
Exactly, kwa kauli Lissu aliuambia umma kuwa Slaa ndiye aliyeshauri wamchukue Lowassa ila kibao kikageuka baada ya 'madame' Mushumbusi kumkasirikia kwa move hiyo ya kumkosesha uwezekano wa kuwa first lady. Things changed drastically na Slaa akapiga U-turn 180Β° kutokana na pressure ya madame Mushumbusi.Inachanganya
Lissu alisema "...aliyeshauri Chadema 2015 imchukue Llowasa ni W. Slaa"
Swali: Kama Slaa ndiye aliyeshauri? Vipi amkimbie?
NaamExactly, kwa kauli Lissu aliuambia umma kuwa Slaa ndiye aliyeshauri wamchukue Lowassa ila kibao kikageuka baada ya 'madame' Mushumbusi kumkasirikia kwa move hiyo ya kumkosesha uwezekano wa kuwa first lady
Mushumbusi balaa. Siku anaona picha ya Lowassa ndani ya ofisi za Chadema usiku Slaa aliporudi nyumbani hakufunguliwa geti. Yule maza kweli mhaya!Exactly, kwa kauli Lissu aliuambia umma kuwa Slaa ndiye aliyeshauri wamchukue Lowassa ila kibao kikageuka baada ya 'madame' Mushumbusi kumkasirikia kwa move hiyo ya kumkosesha uwezekano wa kuwa first lady. Things changed drastically na Slaa akapiga U-turn 180Β° kutokana na pressure ya madame Mushumbusi.
Chawa wa Mwendakuzimu na msaliti aliyesaliti na kupambana kukihujumu chama katikati ya mapambano ni mtu asiyefaa, imagine mtu wa aina yake aliyegeuka akawa chawa wa Jiwe kama ndiye angekuwa mwenyekiti wa chama kwa sasa kingeshajifia yaani hafai hata kwa kurumangia. Bora hata Lowassa alivyorudi CCM hakuwasagia kunguni CHADEMA aliendelea tu na maisha yake mengine, once a traitor always a traitor.Dr Slaa amechangia kukuza viongozi wengi CDM na kuwajenga kina Zitto, Mnyika, Lema, Mdee nk nk!
Sasa akijenge chama Kwa JASHO na Damu ,iweje tena akihujumu?
Waliohujumu chama wamekataliwa kwenye uchaguzi uliopita.
Dr Slaa ni victor!
Pale alipokuwa chawa wa Jiwe, hivi ni lini alitudisha kadi ya CCM?CCM Slaa alirudi Lini?
100%βYaani huyu mzee Slaa na mwenzake Lipumba sio watu wa kuwaamini kabisa. Hao ni wazee wa kuchomoa betri dakika za jioni kabisa. Na Mungu alivyo fundi sasa hivi sio Lipumba au Slaa anayeweza kuzungumza kwenye vyombo vya habari halafu watanzania wakaacha shughuli zao wakae wawasikilize. Sitawashangaa CHADEMA wakimpokea tena ila nitawashangaa wakimpa uongozi. Huyo Mzee Slaa apokelewe tu kama mwanachama wa kawaida lakini asipewe hata uongozi wa tawi abaki mwananchama wa kawaida kabisa. Kwanza huko CHADEMA amesahau nini au ana jipya lipi. Na kama uongozi utampokea na kumpa uongozi basi itadhihirika wazi upeo wa uongozi na kuchanganua mambo ni mdogo kiasi gani.
Kauli zake tata juu ya CHADEMA zinamuhukumu, mara ndani ya CHADEMA kuna kundi la utekaji, msaidizi wangu alitekwa na watu ndani ya CHADEMA, nawashangaa wanaosema Mbowe sio gaidi, Inawezekana Lisu kashambuliwa na CHADEMA wenyewe n.k. Huyo mzee ni mtu mnafiki sana na anapenda sana visasi. Hebu fikiria yeye ndiye aliyemleta Lowasa CHADEMA according to Lisu halafu alipoona Lowasa kapewa nafasi ya kugombea uraisi akaondoka CHADEMA kwa hasira na kuanza kuitukana CHADEMA na Mzee Mbowe. Haya akaenda CCM akapewa ubalozi alipoondoolewa tu ubalozi akaanza kuitukana serikali, CCM na akaenda mbali zaidi kila siku kumzushia raisi mambo ya uongo. Yaani mara nyingi hata ukimsikiliza unaona kabisa ana chuki binafsi na Mbowe na raisi kitu ambacho kinamuondolewa sifa ya kuwa kiongozi mzuri kwani anaweza kabisa kujenga hoja bila ya kuingiza chuki binafsi.
Nafikiri watu waliopo karibu naye au hata watoto wake wangemshauri kwa umri aliofikia aachane kabisa na siasa amrudie Mungu afanye toba kwa usaliti wa kiapo cha upadri na kuwasaliti watanzania.
Ni mtizamo tu.
Inaonesha ni mchanga sana siasani. Siasa haipo hivyo unavyodhani ndugu, siasa ni watu na yeyote yule anayekuletea watu kwa wakati sahihi unampokea.Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.
Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Kumbe wewe ulikimbilia kuni quote kwenye comment namba 2 bila kuelewa nilichoandika.Aliye waondoa walinzi area D ni nani siku ya tukio, askari hupangiwa zamu Kwa mpangilio maalum, (duty roster), nani aliwapangia zamu siku ya tukio
duty roster -orodha ya majukumu
Swali fikirishi je Dr Silaa anaweza kuingilia majukumu ya polisi kuhusu duty roster kwa kuwaondoa walinzi kwenye lindo?
Wewe ndio mchanga mno katika mambo ya siasa nchini na duniani kwa ujumla. Siasa ni kama biashara, kuna faida na hasara. Sasa hauwezi kulazimisha kufanya biashara ambayo unaona kabisa itakupa hasara hapo baadae.Inaonesha ni mchanga sana siasani. Siasa haipo hivyo ubavyodhani ndugu, siasa ni watu na yeyote yule anayekuletea watu kwa wakati sahihi unampokea.