Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta:violin:Nyerere seconded the idea of Plato of letting philosophers to be heads of their state because they have two qualities: 1. they have a capacity to lead 2. they do not like to lead. Plato's state would drive philosophers to lead in short periods of time, and they would like that since they would go back to their philosophy business after their terms or phases (Nyerere, 1990s, p. 8).
Nyerere (1990s, p. 8) said that our country is led by politicians who are not philosophers (non PhD holders) who love to lead though they do not have that capacity, and once they are in power they do not like to leave that power!
Tanzanians, there is a saying that OPPORTUNITY NEVER COMES TWICE!
VOTE FOR THE REAL WEAPON THAT BRINGS LIBERATION TO ALL ASPECTS OF OUR LIFE IN TANZANIA
Reference: Nyerere, J.K. (1990s). Uongozi Wetu na hatima ya Tanzania. Harare: Zimbabwe Publishing House.
MSAADA WA KISHERIA NA KIMAWAZO
Natafuta namna ya kumpigia Kampeni J. Kikwete kwa kutengeneza T-shirt kama 100,000 zenye maneno "SIHITAJI KURA ZA WAFANYAKAZI" alafu naweka PIcha yake na Jina lake. Nawezaje kukamilisha huu mradi wangu ndani ya miezi ya kampeni? Je nitakuwa navunja sheria? au kama nitafanya kama ni bidhaa za biashara ya kawaida hazina uhusiano na kampeni na chama chochote zitauzika na kukubalika kuwa mitaani?
![]()
Ndugu pamoja na salamu zenu kwa Dr Wilbroad Slaa,
Mpeni nguvu ya kuanza kampeni sasa, kwa kutuma SMS zisizopungua 100
yenye neno CHADEMA kwenda 15710.
Kwa wateja wa zain na voda
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
kila ukiangalia michango mingi ndani ya Jf wanampongeza dk slaa na wengine hufika mbali zaidi na kumsifu kupindukia na wengine huona tayari ashakuwa rais mtarajia.
wanaopinga mawazo yao huitwa wasaliti wa taifa hili huru.
wengi hawamuelezi kwamba bado sio maaraufu, jamii hasa watu wa kijijini wasijuoa maana ya rushwa hawatambui mchango wa dk slaa, wengi wanaogopa vyama vya upinzani, wengi wanamuona dk slaa kama raia mwengine anaetafuta umaarufu kupitia urais, kwa hivyo kuingia katika kinyanganyiro hicho sawa na sisimizi ndani ya kundi la kuku
dk slaa ni miongoni mwa wanasiasa ndani ya JF, Kama ataangalia michango ya humu basi atajiona yeye ni rais, yeye ndie tegemeo la watz, ataona kwamba jamii nzima ya tanzania ipo nyuma yake, atajisahau na kujiona tayari ni mpinzani wa kweli wa Jk,atasahau na kuona jf wananikubali, jf inawakilisha watz, kwa hivyo hayo ndio mawazo ya watz
akiona akina ms na wengine wakipondwa kwa kumsoa dk slaa atazidi kuona kumbe ta yote ni yangu na atashindwa kujua kwamba wanajf pengine ni ailimia 0.01 ya watz wapiga kura.
lkn wanjf wakimkusoa, wakimshauri, wakimsihi kwamba akze kamab na jamii bado haijui anaweza kuleta changamoto sana na kuona upungufu wake.
duh! Mpo wengi hapa JF wa sampuli ya kukomalia kitu!. Unauliza swali la wazi hivi? Mimi nadhani Slaa kaingia choo cha kike. Mshaurini arudi kiumeni. Bungeni
Hata Nyerere alipoacha ualimu pugu kwenda TANU wapo waliomwambia kaingia choo cha kike.....the rest is history of course
My cent mheshimiwa, nakubaliana nawe, though its a bitter pill to swallow.
Tena kwa 2015, hata CCM wenyewe watakuwa na maruweruwe na mgombea wao manake naye atakuwa mpya machoni kwa wapiga kura!
Ugumu uliopo unaeleweka Lakini huko hakumfanyi yeye akate tamaa bali inamueweka ktk kujizatiti kimapambano kwani kwa kukubali kwake tu kutwaa huo mzigo ni dalili ya uelewa wake wa nafasi anayoiendea.Kama aliweza kupenya ndani ya system na kupata government documents na kuzitumia bungeni natumai anaelewa mbinu mbadala za kumpitisha ktk hili pia,Otherwise kibarua kipevu.kila ukiangalia michango mingi ndani ya Jf wanampongeza dk slaa na wengine hufika mbali zaidi na kumsifu kupindukia na wengine huona tayari ashakuwa rais mtarajia.
wanaopinga mawazo yao huitwa wasaliti wa taifa hili huru.
wengi hawamuelezi kwamba bado sio maaraufu, jamii hasa watu wa kijijini wasijuoa maana ya rushwa hawatambui mchango wa dk slaa, wengi wanaogopa vyama vya upinzani, wengi wanamuona dk slaa kama raia mwengine anaetafuta umaarufu kupitia urais, kwa hivyo kuingia katika kinyanganyiro hicho sawa na sisimizi ndani ya kundi la kuku
dk slaa ni miongoni mwa wanasiasa ndani ya JF, Kama ataangalia michango ya humu basi atajiona yeye ni rais, yeye ndie tegemeo la watz, ataona kwamba jamii nzima ya tanzania ipo nyuma yake, atajisahau na kujiona tayari ni mpinzani wa kweli wa Jk,atasahau na kuona jf wananikubali, jf inawakilisha watz, kwa hivyo hayo ndio mawazo ya watz
akiona akina ms na wengine wakipondwa kwa kumsoa dk slaa atazidi kuona kumbe ta yote ni yangu na atashindwa kujua kwamba wanajf pengine ni ailimia 0.01 ya watz wapiga kura.
lkn wanjf wakimkusoa, wakimshauri, wakimsihi kwamba akze kamab na jamii bado haijui anaweza kuleta changamoto sana na kuona upungufu wake.
Well hii sio habari njema kwa Chadema kihivyo. Jimbo la Karatu linarudi CCM believe me. Na kwa taarifa tu ni kuwa kweli Dr. Slaa hawezi kupata urais kwa sasa. Kama yuko kupima anakubalika vipi ili agombee 2015 sawa.
Dina uko sahihi kuwa watu waeneze Elimu kwa kila mtu as much as possible, lakini nadhani hauko sahihi kusema kuwa sisi wavijijini hatuna elimu ukilinganisha na nyie wa mjini na wenye access na internet na media. Nasema hauko sahihi kwasababu katika wabunge karibu 40 wa upinzani hakuna hata mmoja anayetoka kwenye majiji makubwa (Dar, Arusha, Mbeya, Mwanza) Hata miji Ukiondoa mji wa Moshi. Kwa hiyo ukitumia statistics hizo unaweza ukaona tunahitaji nguvu kubwa zaidi mjini kuliko vijijini, unaweza ukashangaa hata vijana kama akina Manyika wanashindwa kupata Ubunge Ubungo jimbo lenye wapiga kura wengi kutoka UDSM. Msitulaumu wa vijijini, nadhani sisi tumeamka kuliko nyie wa mjini, hata chaguzi ndogo za Busanda, biharamulo, Tarime zilikuwa na changamoto kuliko zilizofanyika mijini kama wa Mbeya Vijijini (sehemu kubwa ni mji)