johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni wanachama Ndio sababu Mchango wao wameuweka kwenye utaratibu wa ChademaMnyika sawa hao wengine sijui Mdee na Bulaya kwani bado wanachama wa chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wanachama Ndio sababu Mchango wao wameuweka kwenye utaratibu wa ChademaMnyika sawa hao wengine sijui Mdee na Bulaya kwani bado wanachama wa chadema
Usikasirike Wanasiasa wa Tanzania ni wa MchongoInatia hasira
Halafu aliyezipokea na kutangaza ni Mbowe, kila kwenye fursa hakosi.Kwenda kwenye ujenzi wa kanisa moja na kutoa milioni 150 wakati wananchi wanaishi maisha magumu, milioni 100 ingepelekwa maeneo hayo ya Moshi bei ya chakula ikashuka, ingesaidia maelefu, hii ndio kazi ya fedha za umma.
Fedha hizi zinazotapanywa namna hii zinaingia kwa sura ya kampeni kama ambavyo kampeni ya Rais Samia ilianza huko nyuma na mabango yanayotawanywa nchi nzima.
Kama mlichunguza hotuba yake ya kuuaga mwaka pia ilikuwa hotuba ya kampeni, kama watu wa serikali wanabisha watoke hadharani tuanze kubishana.
Dr. Slaa ameyasema hayo alipokuwa anaongea club house tar 1, 2024.
Chadema nao wanalipa Kodi, hela yote ya Million 150 inayosemwa ya mama Samia ni mchango kutoka kwa Watanzania wote, kodi zetu na tozo lukuki mnazotutozaChadema wamechangia shilingi ngapi
Mbowe ni mzee wa Kanisa hapo Machame alichofanya ni halali kabisaHalafu aliyezipokea na kutangaza ni Mbowe, kila kwenye fursa hakosi.
Asante. Ujumbe umefika.Tumekusamehe
Kuna tofauti Kati ya Mjinga na Bwege!
mama sasa ana deal na kkt kaachana na wapigaji na wazinguaji na wanaojifanya wako juu ya sheria wakatoliki mama wakumbuke na wasabato
Muulize baa yako, he is a.chadema memberChadema wamechangia shilingi ngapi
Mwenye macho haambiwi Tazama!! Hapo hakuna mwenyekiti wa chama Cha upinzani Bali Kuna mgombea mtarajiwa wa jimbo la Hai kwa tiketi ya CCM!Halafu aliyezipokea na kutangaza ni Mbowe, kila kwenye fursa hakosi.
Yeye ali honvwa shilingi ngapi kuharibu uchaguzi?Kwenda kwenye ujenzi wa kanisa moja na kutoa milioni 150 wakati wananchi wanaishi maisha magumu, milioni 100 ingepelekwa maeneo hayo ya Moshi bei ya chakula ikashuka, ingesaidia maelefu, hii ndio kazi ya fedha za umma.
Fedha hizi zinazotapanywa namna hii zinaingia kwa sura ya kampeni kama ambavyo kampeni ya Rais Samia ilianza huko nyuma na mabango yanayotawanywa nchi nzima yamekuja kuanza na vitu mbalimbali ambayo vinafanyika na taarifa zinazotolewa kwamba hata fedha za umma zinazojenga shule, hospitali, barabara zinakuja kuelezwa kuwa Rais anaupiga mwingi kwa maana ya kwamba ametoa fedha kumbe fedha ni kodi zenu wananchi, mnakaangwa na mafuta yenu wenyewe kama samaki!
Kama mlichunguza hotuba yake ya kuuaga mwaka pia ilikuwa hotuba ya kampeni, kama watu wa serikali wanabisha watoke hadharani tuanze kubishana.
Dr. Slaa ameyasema hayo alipokuwa anaongea club house tar 1, 2024.
Sawa na yeye atoe badala ya kulalamika.Mkono mtupu haulambwi.Kwenda kwenye ujenzi wa kanisa moja na kutoa milioni 150 wakati wananchi wanaishi maisha magumu, milioni 100 ingepelekwa maeneo hayo ya Moshi bei ya chakula ikashuka, ingesaidia maelefu, hii ndio kazi ya fedha za umma.
Fedha hizi zinazotapanywa namna hii zinaingia kwa sura ya kampeni kama ambavyo kampeni ya Rais Samia ilianza huko nyuma na mabango yanayotawanywa nchi nzima yamekuja kuanza na vitu mbalimbali ambayo vinafanyika na taarifa zinazotolewa kwamba hata fedha za umma zinazojenga shule, hospitali, barabara zinakuja kuelezwa kuwa Rais anaupiga mwingi kwa maana ya kwamba ametoa fedha kumbe fedha ni kodi zenu wananchi, mnakaangwa na mafuta yenu wenyewe kama samaki!
Kama mlichunguza hotuba yake ya kuuaga mwaka pia ilikuwa hotuba ya kampeni, kama watu wa serikali wanabisha watoke hadharani tuanze kubishana.
Dr. Slaa ameyasema hayo alipokuwa anaongea club house tar 1, 2024.
Mdee na Bulaya si walishafukuzwa CHADEMA?Mnyika, Mdee na Bulaya kwa niaba ya Chadema wametoa Million 25
Swali lingine
Good uitishwe mdahalo wa waziKwenda kwenye ujenzi wa kanisa moja na kutoa milioni 150 wakati wananchi wanaishi maisha magumu, milioni 100 ingepelekwa maeneo hayo ya Moshi bei ya chakula ikashuka, ingesaidia maelefu, hii ndio kazi ya fedha za umma.
Fedha hizi zinazotapanywa namna hii zinaingia kwa sura ya kampeni kama ambavyo kampeni ya Rais Samia ilianza huko nyuma na mabango yanayotawanywa nchi nzima yamekuja kuanza na vitu mbalimbali ambayo vinafanyika na taarifa zinazotolewa kwamba hata fedha za umma zinazojenga shule, hospitali, barabara zinakuja kuelezwa kuwa Rais anaupiga mwingi kwa maana ya kwamba ametoa fedha kumbe fedha ni kodi zenu wananchi, mnakaangwa na mafuta yenu wenyewe kama samaki!
Kama mlichunguza hotuba yake ya kuuaga mwaka pia ilikuwa hotuba ya kampeni, kama watu wa serikali wanabisha watoke hadharani tuanze kubishana.
Dr. Slaa ameyasema hayo alipokuwa anaongea club house tar 1, 2024.
Jaji kasema Rufaa zao zisikilizwe na Baraza Kuu la ChademaMdee na Bulaya si walishafukuzwa CHADEMA?