Wakati amejiuzulu Chadema alikuwa bado hajawa sehemu ya serikali, mbona alitapika nyongo kweli kweli pale Serena hotel dhidi ya Chadema na baada ya hapo akapewa ubalozi.Huoni kwamba ilikuwa ni Campaign dhidi ya Chadema na Lowasa ambaye ni KKKT na leo tena anajitokeza kushambulia mchango uliotolewa na Rais kwa vile haukwenda RC ambako huwa hakosoi chochote.Alichosema ni kweli lakini huyu mzee ni mnafiki wa kupitiliza,mdini na mbinafsi ambaye hata leo akipewa cheo iwe Chadema ama CCM ananyamaza kimya.Lissu Ndiye mwenye haiba ya kusimamia anachikiamini lakini kwa huyu Dr. Slaa hapana.