Tatizo au ajabu iliyopo ni kuwa Myahudi anakunbatiwa na kusaidiwa na wala Nguruwe huku yeye myahudi akiangamiza wasio kula Nguruwe wenzake (Waparestina na Wale anon).Duuu wewe ni umepandizwa uyahudi kwenye kichwa chako lakini wayahudi hawali kitimoto
Kwani hizo aya ni za kitabu gani kwani. Impole ndio nani..?Umeweka vipande vya aya ambavyo havitoi maana halisi iliyo kusudiwa.
Weka Aya kamili na asbabul nuzul ili tujadili.
Usituletee ujanja wa Sunday school hapa.
Impole amekutwa na mkufu wa dhahabu wenye gramu 400 akitoka nyumbani kwa Forexy.
Kumbe! Kwa hiyo hata Saudi kuna kikundi cha Islamic jihad chenye silaha?Kulikua na makafiri wengi tu wa saudi arabia walikufa vitani wakipigana na mtume, uislam si mali ya kabila wala ukoo,saudi arabia ndiyo inaongoza kutoa pesa kwa ajili ya wapalestina,na vita vikiisha watatoa pesa kuijenga
Nina shaka sana na uwezo wenu wa kufikiri,no wonder mnaabudu mungu msiemuelewaKumbe! Kwa hiyo hata Saudi kuna kikundi cha Islamic jihad chenye silaha?
Unakaririshwa Kiarabu bila kujua maana yake hebu soma 9:5 katika lugha ya Kiswahili au English.Nineisoma kwa miaka 32,na bado nashangazwa nayo,juzi nimesoma aya inasema ubongo wa mbele ndiyo hutumika kudanganya,na imethibitishwa kisayansi
Nilijua utaokota okota,anzia 9:1-5,ukimaliza nenda 9:13-14 utapata context,surat tawba(toba) ni sura ya vita na haijaanza na bismillahUnakaririshwa Kiarabu bila kujua maana yake hebu soma 9:5 katika lugha ya Kiswahili au English.
Waislamu wa Kiafrika wengi wanajua kuikariri Quruani bila kujua maana.
Siku mkiacha kusali kwa kiarabu au kuvaa mavazi ya kiarabu nitakua muislamu tofauti na hapo uislamu ni dini ya kueneza tamaduni za kiarabu nothing mor nothing less.Tatizo ni wakristo wengi na wanaoingia katika Uislam wanakosea sehem ndogo tuu wao wanadhani kua muislam inabidi ufuate tamaduni za kiarabu na ubebe kila kitu kinafanywa nao ndio dini hapo utachemka. Uislam una nguzo zake na nguzo za kiimani full stop ukishika hayo huwezi kuyumbishwa na hata huyo mwarabu mwenyewe
Ziko sura nyingi tu mimi nime Google kidogo tu nimekutana na hiyo.Nilijua utaokota okota,anzia 9:1-5,ukimaliza nenda 9:13-14 utapata context,surat tawba(toba) ni sura ya vita na haijaanza na bismillah
Bado kuna aya moja hujaweka,huwa mnaipenda pia kuhalalisha uwongo wenu
Kwani ukiwa muislam uislam utafaidika na nini?Siku mkiacha kusali kwa kiarabu au kuvaa mavazi ya kiarabu nitakua muislamu tofauti na hapo uislamu ni dini ya kueneza tamaduni za kiarabu nothing mor nothing less.
Na siku hiyo ndio watasoma Quruani Kiswahili na kuyatambua yaliyomo ndani.Siku mkiacha kusali kwa kiarabu au kuvaa mavazi ya kiarabu nitakua muislamu tofauti na hapo uislamu ni dini ya kueneza tamaduni za kiarabu nothing mor nothing less.
Ume google aya nilizokupa za sura hiyohiyo ukaona!?..au hutaki,kichaka ulichojificha kitaungua?..eti sheikh google!!?Ziko sura nyingi tu mimi nime Google kidogo tu nimekutana na hiyo.
Tunayatambua mbona,ndiyo maana tubafunga na kuswali,vaa hijabu,hatuli nguruwe nkNa siku hiyo ndio watasoma Quruani Kiswahili na kuyatambua yaliyomo ndani.
Hakuna hiyo picha dunianiWeka na Picha ya Waumini wa Kiislamu wakigombania kubusu Jiwe Jeusi huko Kaaba.
Baada ya kula mboko nyingi sana pale madrasaKwa sababu ndivyo ulivyoaminishwa na wazee wako.
bibi endelea kuwapa SoMo vijana wa geniz= yanafikirisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.