Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

kKruka maji halafu kaingia tena kwenye maji...
 
Kichwa bila ubongo ni fuvu
Tunataka uislam kama wa Dubai, Saudia, Egypt and the like. Mali,Bukinafaso,Niger zinaangamia sababu ya wapumbavu( jihadist) wanampigania Allah wa mchongo.
 

Attachments

  • 5520872-194fc953bea427ccfef7832aef21a538.mp4
    7.4 MB
  • 5525590-ab47e7ed6a3edf76e2c7f0902480fd95.mp4
    4.5 MB
Wakristo au watu wanaonasibishwa na Ukristo!?
 
Asahau kabsa mwarabu kutufanya watumwa tena
Ukipoteza Culture yako ni Utumwa vile vile,angalia leo Wasudan wamepoteza Lugha yao na Culture yao na wanajiona Waarabu na wanaanza kuua Waafrika wengine huko Darfur.
 
Tatizo au ajabu iliyopo ni kuwa Myahudi anakunbatiwa na kusaidiwa na wala Nguruwe huku yeye myahudi akiangamiza wasio kula Nguruwe wenzake (Waparestina na Wale anon).
Tatizo ni kupandikizwa uyahudi vichwa vyenu
 
Magaidi ya Kiislam yamekuwa yakiwaua sana Waafrika wanaoabudu Dini za Kimila za Kiafrika.

Magaidi 👆


👆Hawa ni wahanga wa Ugaidi wa Kiislam huko Mali wanaitwa Dogon wako mbioni kutoweka kwasababu Jeshi la Mali limezidiwa sana na Magaidi hao wanastahilikwenda kusaidiwa.
 

Vijiji vya Wadogon huwa wanajenga Milimani ili kuepuku uvamizi.
 
Uislam hauna msitari unaosema ua watu wa dini nyingine,waulize waislam wakufundishe siyo unakopikopi vitu kwenye mitandao yenye chuki dhidi ya uislam,unaenda kutafuta jema la CCM ofisi za chadema secretary mdude na masese!!
Samahani ndugu! Nipo serious na n ataka kuelimishwa....! Sijui aya wala kurasa. Ila nataka unitoe tongotongo... habari za kuwakata vichwa wasio waislamu hazijaelezwa kwenye kitabu cha Allah?
 

Dr. Umar Johnson sasa ngoja tuone je atabadili na hilo jina la Kiarabu la Umar?! Akili mukichwa.
Je akibadili atajitolea jina la Kiafrika kutoka Afrika ya Magharibi au Mashariki?! Muda ndio utasema.
 
Aisee! Nawaonea huruma Hawa jamaa. Hawana shida na mtu, Kisha vichaa flani wanawashambulia na kuwaua.
Hawa Dogon Imani yao inasema wametoka kwenye Nyota ya Orion inasemekana Imani zao zinafafana na Wamisri wa Kale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…