BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Bikra wa 57 huyu hapaAaaaaiiiseee! Hemu Fanya wepesi umpe hata wawili tu jemedali Netanyahu awale kirafi
Tunataka uislam kama wa Dubai, Saudia, Egypt and the like. Mali,Bukinafaso,Niger zinaangamia sababu ya wapumbavu( jihadist) wanampigania Allah wa mchongo.Kichwa bila ubongo ni fuvu
Asahau kabsa mwarabu kutufanya watumwa tenaView attachment 3117780
Viongozi wa Dini za Mizimu wa Kabila la Dogon wa wakifanya ibada za matambiko yao.
Sasa hivi wameshambuliwa na Magaidi ya Kiislamu huko Mali.
View attachment 3117781
Mwarabu anataka kufuta kabisa Culture yetu ya Kiafrika ili tufuate Culture yeke ili tuwe Watumwa.
Wakristo au watu wanaonasibishwa na Ukristo!?Ni ngumu kwa watu wenye dini kuelewa kwamba KILA DINI INA KASORO kwasababu kila mtu anatetea dini yake, anaona haina makosa.
Waislamu wengi sana waliuawa na wakristo kwenye crusades za karne ya 10 na 11.
Eugenics, mtazamo wa kubagua watu wa rangi ulikuzwa sana na wakristo.
Wakristo.Wakristo au watu wanaonasibishwa na Ukristo!?
Tatizo ni kupandikizwa uyahudi vichwa vyenuTatizo au ajabu iliyopo ni kuwa Myahudi anakunbatiwa na kusaidiwa na wala Nguruwe huku yeye myahudi akiangamiza wasio kula Nguruwe wenzake (Waparestina na Wale anon).
Bikra wa 55 huyuAaaaaiiiseee! Hemu Fanya wepesi umpe hata wawili tu jemedali Netanyahu awale kirafi
SahihiDr.Umar anasema Uisilamu unasambaza "Arabic Culture" Hoja yake inamashiko 100%
Samahani ndugu! Nipo serious na n ataka kuelimishwa....! Sijui aya wala kurasa. Ila nataka unitoe tongotongo... habari za kuwakata vichwa wasio waislamu hazijaelezwa kwenye kitabu cha Allah?Uislam hauna msitari unaosema ua watu wa dini nyingine,waulize waislam wakufundishe siyo unakopikopi vitu kwenye mitandao yenye chuki dhidi ya uislam,unaenda kutafuta jema la CCM ofisi za chadema secretary mdude na masese!!
🤣🤣 The Mongolian Savage“Huyo tukimkamata kichwa chake halali yetu”,ina maana hazitaki rehma za peponi huyu?72 virgins ulabu etc?
AYatolah tangaza fatwa tu-deal nae huyu kenge.
Dini ya asili ni nn,ni ipi?Niliwaza angejiunga na ukristu, amefanya vyema kujiunga na dini za asili, dini ya asili ndiyo inayomfikisha mtu kwa Mungu wa kweli.
🤣🤣Arabization ni kitu ambacho kipo na kinaendelea sana hapa Barani Afrika tusikatae.
Watazame hawa Waafrika wenzetu👇
View attachment 3117942