gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Huwezi kuujua uislam kea google mzee,kilimo cha matikitiki tu huwezi kukijua kwa google iwe uislam,na zaidi unaenda kwenye viwebsaiti vya kupinga uislam kujifunza uislamDini yenu ya Kiislamu imeanikwa HADHARANI kwenye Internet π tumshukuru sana sana mgunduzi wa World Wide Web Allah amjaalie zaidi.
Dini zina usanii sanaAnajitafuta kachoka kudanganywa kutangaza utamaduni wa Kiarabu.
So!?Maana ya "kushushwa" ni kutolewa juu kuletwa chini.
Ndio ilivyo hivyo wallai bilaiInapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Quruani nzima iko Mtandaoni na ziko Websites za Wanazuoni wa Kiislamu wanaopingana kila mahali.Huwezi kuujua uislam kea google mzee,kilimo cha matikitiki tu huwezi kukijua kwa google iwe uislam,na zaidi unaenda kwenye viwebsaiti vya kupinga uislam kujifunza uislam
Najadiliana na mgonjwa akili au!?.. endelea na mbanga zako babu,unanichosha tuQuruani nzima iko Mtandaoni na ziko Websites za Wanazuoni wa Kiislamu wanaopingana kila mahali.
Hata Historia inasema Waisilamu enzi za Khalifu Harun Bin Rashid walikuwa wakipingana kuwa Quruani is not "DIRECT" WORD of GOD.
Nilikwambia waambie waislam wakufundishe badala ya kuwaendea kiubishiNitajie sehemu Muhamad saw aliongea DIRECT na Allah?!
Muhammed saw alikuwa kwenye Pango la Jabal Hira akashukiwa na Malaika akamwambia Muhammed saw "...ewe Muhammed soma kwa jina la Mola wako..."Nilikwambia waambie waislam wakufundishe badala ya kuwaendea kiubishi
Kaisome vizuri hiyo "kuluwani" kama imefafanuliwa na Mimi.Hayo maelezo unayoyatoa yamefafanuliwa na wewe sio kuluwani
Sasa hao ni binadamu au popo?View attachment 3117838View attachment 3117840
Vijiji vya Wadogon huwa wanajenga Milimani ili kuepuku uvamizi.
Hoja au bangi?Jibu HOJA zake.
Tehtehteh,ndo mkikutana huko mitandaoni mnaambiana hiyo ndiyo contradiction!!...mi husoma Quran hata nikiwa naendesha baiskeli na bila kitabuMuhammed saw alikuwa kwenye Pango la Jabal Hira akashukiwa na Malaika akamwambia Muhammed saw "...ewe Muhammed soma kwa jina la Mola wako..."
Lakini katika Historia ya Muhammed sw inasema kwamba alikufa bila kujua kusoma wala kuandika.
Huoni contradiction hapo?!