Interahamwe hawakuwa wanapigana Vita kwa ajili ya Mungu wale walikuwa kikundi chenye msimamo mkali wa Kikabila au Race.Sio kweli.Huko Ireland ya kaskazini,magaid ya waprotestant na wakatoliki,wameuana sana,na huko Rwanda wakatoliki wamewauwa watu wengi,mpaka
Hicho ndio kiswahili gani eti mazayuniOoh, bilifikiri utasema Mazayuni.
Tafta kamusi ya kiarab utafute tafsiri yake kama anapotoshaUsipotoshe.
Kama huelewi ni tatizo lako, siyo langu.Hicho ndio kiswahili gani eti mazayuni
Leta maana yako wewe, maana unaji-mwambafai kuwa wewe unajuwa "terminologies" za Kiislam kuliko Waislam.Usipotoshe.
Yesu kwa Lugha yake alimuitaje "amungu"?Kamusi ya Luha ya Mungu?! nani kakuambia Mungu ni Mwarabu?
Narudia:Huyo Jamaa hajaleta chochote zaidi ya kusema kuwa yeye ameikariri Quruani.
Narudia:
Leta maana yako wewe, maana unaji-mwambafai kuwa wewe unajuwa "terminologies" za Kiislam kuliko Waislam.
Kanisome tena, sijoangelea "bible".Leo hii kuna Bible za kila Lugha hadi Lugha za Kienyeji.
Hilo wala halinishangazi.Usinitoe kwenye HOJA za Dr. Umar Johnson ya Arabization of African Mind.