Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Sura ya kwanza kabisa aliyofundishwa mtume ni kusoma kiukweli kiarabu ni changamoto kwa asietaka kusoma kwasababu ndio lugha mama ya kitabu tunachotumia lakini sio kubwa sana kwakua kuna tafsiri hivyo utahitajika kujua idea at least na lugha nyepesi pia kujifunza kwani maneno mengi pia ni ya kiswahili
sawa kabisa lakini ingefaa sana taasisi kama bakwata ama yeyote ile ikae chini itafakari namna ya ufundishaji dini. Mfano kitu kama tafsiri umeitaja kuna wengi wamekuja kukutana na tafsiri baadae sana. Japo wengi kuadmit inakuaga ngumu kuadmit ila ni kawaida sana kukuta mtu amehifadhi sura kadhaa bila kufahamu ujumbe uliopo aya kwa aya, akienda mbali atafahamu hii sura imelenga hiki na hiki. Mimi kwa observation yangu ndogo nimeona hili ni tatizo la kimfumo. Ndo maana hata clip ya huyo mmarekani hoja pekee niliyoiona ya kuleta mjadala ni lugha. As long as imekubalika kumaintain lugha ni vema waumini wakafahamu lugha
 
Allah alituumba tuongee lugha tofauti ili tupate kumjua yeye kuwa ndiye mwenye uwezo wa kuumba atakavyo
Unaona hapo huwezi kumuelezea Mungu kwa lugha yako hadi urejee neno allah
Kwani ulisema Mungu tu maana itabadilika?
 
Uislamu unaruhusu kuua asiye muislamu na aliyebadili Imani kutoka uislamu kwenda kwingine

I have been commanded to fight
against people till they testify that there
is no god but Allah, and that Muhammad
is the messenger of Allah"
(Sahihi Muslim 1
:33)

"O you who believe! Fight those of the
unbelievers who are near to you
and let them find in you hardness."
(Quran 9:123)
Shida ni kwamba huelew qur'an ilikuwa inashuka kutokana na matukio
 
Allah alituumba tuongee lugha tofauti ili tupate kumjua yeye kuwa ndiye mwenye uwezo wa kuumba atakavyo
Kwenye Ibada nyingi za Allah inatumiwa Lugha ya Kiarabu ikiwemo Swala kweni yeye Allah haelewi kuwa aliumba Waafrika weusi?!
 
Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.

Sio kweli.
 
Mimi nilikuwa mkristo but Alhamdulillah Allah aliniongoza nikaingia kwenye njia sahihi na sijutiii kuwa muislamu 😁
😂😂
Wakristo hupinga ushoga hapa jamvini, lakini wakimaliza wanaenda kumuita Yesu bwana wao.

Pamoja na kwamba uislamu ni dini ya hovyo, ila wakristu nao wana 'u-hovyo' wao maalum.
 
Hapana mkuu.
Mi nilishazikimbia dini zote. Za kizungu, kiarabu na hata kiafrika pia. Sitaki dini.
Sitaki mtu aniambie mambo ya dhahania as if ni uhalisia.

Nilikuwa kwenye kukumbusha tu mkuu, kwa maana ulionekana ukristo ulikuwa umeusahau tu:

IMG_20241006_213328.jpg


Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Kwenye Ibada nyingi za Allah inatumiwa Lugha ya Kiarabu ikiwemo Swala kweni yeye Allah haelewi kuwa aliumba Waafrika weusi?!
Lugha sio tatizo kwa muktadha huo unaoutaja hapo
 
Mimi nilikuwa mkristo but Alhamdulillah Allah aliniongoza nikaingia kwenye njia sahihi na sijutiii kuwa muislamu 😁
Kumbe wewe ni kama mimi, mimi nilikuwa Mwisilamu, nikabadri dini fasata na kuwa Mkristo,

Tangu nipokee wokovu, sjawahi kujuta, nilikuwa naumwa sana kichwa kabla, niliombewa nikaanguka mapepo, tangu siku ile nilipona kichwa mpaka leo
 
Back
Top Bottom