Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhihirisha tu uelewa wako mdogo,hoja hapa ni uislam kuwa flexible na wakati kama ukristu ambao waanglikana walisharuhusu ushoga tangu early 2000s na ukatoliki papa karuhusu ushoga, uislam haiwezi hilo sababu nabii alishakufa kitambo hakuna mwenye mamlaka ya kubadili jambo,huyo kamaa kaamua kupakuliwa ni yeye,akiamua kulewa,kuzini,kuiba ni yeye na si uislam,kombe la dunia qatar mkataka kupeleka agenda zenu za uchoko,ikashindikana,huo ndiyo uislamPunguza keleleView attachment 3117698
Hivi wewe punguani kati yako na wasaudia nani anatakiwa kuwa muislamu? Mmekalia ujinga tu humu kuwapambania Hezbollah na Hamas kisa dini wakati waarabu wwnzao jirani tu hapo Misri,Jordan saudia wametulizana na hao ndo waislamu sasa nyie huku KitetoNyie watu uelewa wenu shida sana,si ajabu mnaibiwa na muuza mafuta ya upako na kiboko ya wachawi
Hakujibu yote,alipoulizwa nae aliuliza,kuuliza siyo kujibuAcha uongo.Alijibu yote.
Wewe ni kabishi.Mtu ukimuuliza na akatoa neno amejibu.Au huelewi maana ya kujibu?Hakujibu yote,alipoulizwa nae aliuliza,kuuliza siyo kujibu
Kulikua na makafiri wengi tu wa saudi arabia walikufa vitani wakipigana na mtume, uislam si mali ya kabila wala ukoo,saudi arabia ndiyo inaongoza kutoa pesa kwa ajili ya wapalestina,na vita vikiisha watatoa pesa kuijengaHivi wewe punguani kati yako na wasaudia nani anatakiwa kuwa muislamu? Mmekalia ujinga tu humu kuwapambania Hezbollah na Hamas kisa dini wakati waarabu wwnzao jirani tu hapo Misri,Jordan saudia wametulizana na hao ndo waislamu sasa nyie huku Kiteto
Jibu halina alama ya kuulizaWewe ni kabishi.Mtu ukimuuliza na akatoa neno amejibu.Au huelewi maana ya kujibu?
Quruani ni kitabu kilichoandikwa na Mwanadamu na kinaweza kufanyiwa Editing ili kiende na wakati badala ya kuamrisha Jihadi dhidi ya Dini nyingine.Unafikiri uislam kama ukristu watu kukaa kujadili nini kitoke nini kiongezwe!?..kelele zote na chuki dhidi ya uislam na kumbe huujui!!
Kwa namna ulivyokaririshwa.Jibu halina alama ya kuuliza
Jibu halina alama ya kuuliza babu,yeye mwenyewe alisema swali na swali huzaa jibuKwa namna ulivyokaririshwa.
Kichapo chao cha juzi siyo mchezo, mpaka unawataa.Kwa hio Iran sio waislamu?
Usirembe.Andika ni SATANIC VERSES.Mola amjaaliye Suleiman Rushdie siha mwororo.InshaAllah!🙏😎Quruani ni kitabu kilichoandikwa na Mwanadamu na kinaweza kufanyiwa Editing ili kiende na wakati badala ya kuamrisha Jihadi dhidi ya Dini nyingine.
Kuondoa vipengele vinavyosema "find Kill unbelievers" ndio maana Uisilamu imefanywa kuwa ni chaka la UGAIDI.
Uislam hauna msitari unaosema ua watu wa dini nyingine,waulize waislam wakufundishe siyo unakopikopi vitu kwenye mitandao yenye chuki dhidi ya uislam,unaenda kutafuta jema la CCM ofisi za chadema secretary mdude na masese!!Quruani ni kitabu kilichoandikwa na Mwanadamu na kinaweza kufanyiwa Editing ili kiende na wakati badala ya kuamrisha Jihadi dhidi ya Dini nyingine.
Kuondoa vipengele vinavyosema "find Kill unbelievers" ndio maana Uisilamu imefanywa kuwa ni chaka la UGAIDI.
Acha uongo wewe.Uislam hauna msitari unaosema ua watu wa dini nyingine,waulize waislam wakufundishe siyo unakopikopi vitu kwenye mitandao yenye chuki dhidi ya uislam,unaenda kutafuta jema la CCM ofisi za chadema secretary mdude na masese!!
Asije akaenda kwenye ile ya kuuwa albino ili utajirike.. mizimu yetu afrika miyeyusho sana.. mi siwalaumu baadhi ya babu zetu kusanuka na kufuata dini ya mzimu wa ibrahimuMuislam gani huyo gangster?
Mizimu ya kiafrika Iko mingi anakuja kwenye mizimu ya Koo gani?
Satanic verses zinazotaka yatima kutendewa sema,msafiri aliyeharibikiwa safari kupewa msaada,kuwasaidia mafukara na wasiojiweza,kutokaribia zinaa,kutolewa,kutoiba,kutodhulumu mizani,kuheshimu na kitendea wema wazazi!?Usirembe.Andika ni SATANIC VERSES.Mola amjaaliye Suleiman Rushdie siha mwororo.InshaAllah!🙏😎
Weka tuoneAcha uongo wewe.
Kwasababu hujui Kiarabu na huuijui Quruani.Uislam hauna msitari unaosema ua watu wa dini nyingine,waulize waislam wakufundishe siyo unakopikopi vitu kwenye mitandao yenye chuki dhidi ya uislam,unaenda kutafuta jema la CCM ofisi za chadema secretary mdude na masese!!
Nineisoma kwa miaka 32,na bado nashangazwa nayo,juzi nimesoma aya inasema ubongo wa mbele ndiyo hutumika kudanganya,na imethibitishwa kisayansiKwasababu hujui Kiarabu na huuijui Quruani.