Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Pan Africanist huyu Jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo siyo hoja ila ni muunganiko wa ujinga na upumbavu unaozungumzwa na mtu ambaye hajui chochote kuhusu uislamu na uarabu. Angesoma historia ya uislamu na kuona namna ambavyo waarabu wa zama hizo walivyompiga vita mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم na walivyoungana na wayahudi wa zama hizo kumpiga vita mtume na kupanga njama za kumuua angejua kuwa uislamu na uarabu ni vitu viwili tafauti sana. INGEKUWA MTUME صلى الله عليه وآله وسلم kaja duniani kuwafundisha watu washikamane na Mila, desturi na tamaduni za kiarabu basi waarabu wasingempiga vita. Ukisoma historia ya vita vya jihadi alivyopigana mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم utakuta 90% alipigana na waarabu wenzake na asilimia chache ndizo alipigana na mayahudi. Sasa swali nikuulize wewe unayemtetea huyo nguruwe mweusi wa kimarekani ambaye ujinga na upumbavu uliomo kichwani mwake umemfanya ajitoe kwenye dini tukufu ya kiislamu, ikiwa uislamu unafundisha kushikamana na Mila , tamaduni na desturi za waarabu, ILIKUWAJE WAARABU WA ZAMA HIZO WAMPIGE VITA MTUME WAO صلى الله عليه وآله وسلم AMBAE ANAFUNDISHA TAMADUNI , MILA NA DESTURI ZAO??!!.Jikite kwenye Hoja ya Dr.Umar kwamba Uislamu unasabambaza Utamaduni wa
Ukisema hoja yangu ni ya kibaguzi hata hoja ya kuwakataa waaarabu pia ni ya kibaguzi!Hoja zaifu sana, tena ya kibaguzi. Babu zetu walivaa Migolole.
Muangalie Emperor Menelik2 alivyopiga Pamba
View attachment 3119698
Mfalme wa Uhabeshi.
Umeshindwa kuyasoma ?! Hayo ni maneno ya kiarabu, yakiandikwa kwa herufi za kilatini ladha yake inapungua!.Kwanini usyaandike kwa Kiswahli?!i
Labda ni kweli! Muhimu zaidi ni kwamba Nina furaha, Nina Imani, Nina amani kwa hiki nilichokichagua.Umeshafanyanywa kuwa Mtumwa wa Kiakili.
Hapana!! Alshabaab, Al Qaida, Boko haramu na mfano wao HAO NI MAGAIDI AMBAO AIDHA WAMEFAHAMU VIBAYA MAFUNDISHO YA UISLAMU AU WAMEYAPOTOSHA MAFUNDISHO YA UISLAMU MAKUSUDI ILI KUFIKIA MALENGO YAO YA KIDUNIA.View attachment 3119785
Tazama Bendera zenye maandishi ya Kiarabu na Waafrika waliokuwa Brainwashed na Arabized wanavyouana huko Somalia.
Wanauana kwa ajili ya Allah.
Na hao wavaa tai na suti unaowaita wachache ndio kama akina Mwigulu nchemba ndio wanaoshika mamlaka na uongozi wa NCHI za kiafrika. Hebu niambie rais wa Afrika asiyevaa Suti na tai.Waafrika wanaovaa Suti na Tai ni wachache sana.
Waafrika wanaovaa Suti na Tai ni wachache sana.
Allah ni mpuuzi tu. Lioga kama nini. Limetandikwa na wayahudi likala kona na kuzama chaka.
Allah sucks maamaee
Sasa kama jihadi ni dhidi ya makafiri mbona hao Al shabaab huko somalia wanaua waislamu wenzao?!Sio kweli soma Quruani vizuri uone inavyoamrisha Jihadi dhidi ya Makafiri.