Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika


Asante sana tena sana, naomba kutumia mahojiano hayo na Ally Sykes kwenye tasnifu yangu (kama unayo mahojiano yote kwenye mkanda au maandishi nayaomba pia, nitayarejea ipasavyo - barua pepe yangu ni chambi78@yahoo.com)!
 
Dossa the Bank anakumbuka kuwa yeye
alikuwa anawapitia viongozi kwenda kwenye
mkutano. Akipiga honi ya gari lake ili mtu atoke waende
mkutanoni...
Kama kiongozi hayupo basi alimwachia maagizo mkewe atoke nje na
aseme kuwa hakuwepo nyumbani.

lakini mwisho wa siku Dr Kleluu akaandika kwenye Historia ati Dossa alikuwa ni Dereva tu wa Nyerere...

Hakika kifo chake kimeendana na dhambi alioitenda
 
Sheikh Mohamed Said.


Je hao shorwa/shorwe uwazungumziao ni wale shorwe vibwenzi!?...maana nakhis hao ndo walojazana humu Jf.

Ahsanta.

Nahisi atakuwa/mtakuwa ana/mnamzungumzia "stamina" the new hiphop artist frm mororogoro.kama umri umeenda and u may need more info bout this kid holla at me.deuces.teh teh teh
 
Mohamed Said hakuandika kitabu kimoja tu, pitia hapa:

 
Last edited by a moderator:
Mm nawaomba wale wenye kupinga ngano hizi waje hapa na ngano zao wanazo zijua wao ili ss wasomaji tupate kufahamu ni zipi ngano za kweli.
 
Mm nawaomba wale wenye kupinga ngano hizi waje hapa na ngano zao wanazo zijua wao ili ss wasomaji tupate kufahamu ni zipi ngano za kweli.

Tumesomesha nusu muhula hapahapa na nakala zaidi ya elfu kumi na saba zimeshushwa hapa, pekua hapa jukwaa la historia mkuu, haya nj marudio tu
 
Si japo hao maaskofu wangekuwamo kwenye harakati za kujitafutia Uhuru, walikuwa wapi? au uzalendo wao wa Kiingereza?
Bi mkubwa, wawe maaskofu,maamiri, shula ya maimamu, maustaadh, mahajati kama wewe pamoja na huyo mungu wenu, mimi kwangu hawana umhimu wowote! Ungekuwa umefanya la maana kama ungelaani tabia zao za hovyo za kuwafarakanisha watanzania kwa kisingizio cha kumsemea mungu.
 
Ingelikuwa ni Abdu Sykes, Sheikh Hassan Bin Ameir na Mshume Kiyate nao ungelipendekeza wapewe barabara?????
Mkuu kwani kuna tatizo gani! Jamaa alitoa pendekezo kuhusu manispaa ya Bukoba na mimi nikamjibu accordingly - mbona Tanzania ina miji mingi yenye barabara chungu mzima, nani kawakataza Mameya kupendekeza barabara za mija yao kupewa majina ya washujaa wetu.
 

Dah Historia ya Uhuru bila Askofu wala kanisa kujihusisha inauma sana.
 
Mohamed Said hakua
ndika kitabu kimoja tu, pitia hapa:
FaizaFoxy, nilichokisema mimi ndicho umekirudia.
Hebu nitajie katika hivyo vitabu ulivyoorodhesha, ni kitabu kipi cha historia, narudia 'cha historia' ambacho hakizungumzii waislamu na au uislamu?

Mohamed Said angejikita tu katika kuandika historia ya uislamu na waislamu Tanganyika tungemuelewa, lakini kulazimisha 'harakati za kupigania uislamu Tanganyika' iwe ndio 'harakati za kupigania uhuru Tanganyika' tunashindwa kumuelewa.
 
Nahisi atakuwa/mtakuwa ana/mnamzungumzia "stamina" the new hiphop artist frm mororogoro.kama umri umeenda and u may need more info bout this kid holla at me.deuces.teh teh teh


Mkuu!

Huko Morogoro unakotaja,hakuna Hiphop kama unavyodai,kuna manyanga na madogoli tu! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 



Mkuu Bukyanagandi,

Nakhis, hapo Mkuu Mdondoaji alikua hajakuelewa vizuri,labda alikufananisha na wale jamaa wanaoendeleza ile trendy ya Islamophobia humu mitandaoni-Jf.

Kwa sisi wengine tuliowahi kupitia baadhi ya post/s zako,tunajua ustaarabu wako na kwamba unajitahidi mno kuwa fair,impartial na objective.

Nakusihini, tuendeleeni na mnakasha wetu kwa bashaha,hishma na taadhima.

Ahsanta.

Cc;Mdondoaji
 
Mm nawaomba wale wenye kupinga ngano hizi waje hapa na ngano zao wanazo zijua wao ili ss wasomaji tupate kufahamu ni zipi ngano za kweli.



Bobwe,

Umeongea kwa mantik nzito...tatizo ni yakuwa humu ndani kuna vipofu na viziwi wengi mno.

Kwa kifupi,hizo "ngano za upande wa pili" utazisuburia maisha yako yoote na hutaziona asilan...kwanza wataanzia wapi!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Bobwe,

Umeongea kwa mantik nzito...tatizo ni yakuwa humu ndani kuna vipofu na viziwi wengi mno.

Kwa kifupi,hizo "ngano za upande wa pili" utazisuburia maisha yako yoote na hutaziona asilan...kwanza wataanzia wapi!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
Tunacho kihitaji sio ngano wala histohisia bali historia!
 
Dah Historia ya Uhuru bila Askofu wala kanisa kujihusisha inauma sana.

Bibi kikongwe a.k.a mjane, unataka kuolewa na Askofu? Mimi ni Askofu njoo nikuoe usijekufa na msongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…