toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Huyo Sisco hawezi kushindikana Tanzania nzima kwasababu hajacheza na wacheza draft wote
Nimeangalia draft na kucheza sana ila kuna Dogo mmoja msomali yupo Arusha sijawahi kuona akifungwa na nina uhakika huyo Sisco hamsogelei. Huyo jamaa nahisi ndio mchawi wa draftmletr
WawMagwelele kila Siku tupo nae ,Siku hizi hachezi ,Juzi hapa alikuwa anaumwa
WawMagwelele kila Siku tupo nae ,Siku hizi hachezi ,Juzi hapa alikuwa anaumwa
Kabisa ,wakati anashinda manyanya dailyWakiwa bush huko wanasimulianaga story za mangwerere wanajua yupo mbagala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila siku napita manyanya namkuta na kina RONALDO... DOGO JANJA, CIACO
Waw
Walikuwa wanatumia Dalmax, sema wanabadirisha hapa na pale. Wahuni tu.Nimegundua mkulima Kama unahesabu vizuri vyumba bila kukosea hakufungi isipokuwa anatazama kosa lako
Mkulima Ukikosea hesabu hakuachi
Ila Ukihesabu Vizuri mnaenda ngadu kwa ngadu
Ngoma sare zotematokeo yalikuwaje wadau?, nilikuwa nakwenda nao sawa, kadri muda ulivyokuwa unakwenda macho yangu yakaanza kuwa mazito, kushtuka kumekucha
Janja ya nyani kula mahindi mbichi mkulima anawauza mbinu anayo tumia naijua vizuriIlo nalo neno kama mkulima bingwa kwanini hatoki live katika benchi
That's why hataki kujionyeshaJanja ya nyani kula mshindi mbichi mkulima anawauza mbinu anayo tumia naijua vizuri
Ha haOnline unatumia ID gani wewe tura?
Nenda manyanya ulizia kijiwe Cha draft ulizia matula Tula kina Mangwelele Sisco Ronaldo waambie Mimi Paki Njia ni Tula mwenzenu nahitaji mnifundishe lugha ya Mchezo wa draft na namna ya kucheza draft Nile kichwa Cha mkulima, mfupa mgumu uliowashinda matula Tula nyie!!Hii nchi ina siri nyingi sana, hivi mnaweza mkaamini kuwa mimi sielewi hata kimoja kinachojadiliwa hapa, haki ya nani tena sielewi kitu.
0-0Aisee uzalendo umenishinda mpaka saa 9 sijui game ya 17 hakuna mbabe nikaenda lala sijui ziliishaje
Na ile OJ 14 mkulima alikuwa anasakwa ila alikuwa anatoa sare huwezi kuamini*Mim ndio maana nasema siku zote mkulima anafungika endapo utapiga hesabu vzr Kuna chance ya kumfunga mkulima,,,,,,,
wale wanaosema et kwa sabab mkulima ni program haiwezi kufungwa ni uwongo,kuwa program haimaanishi haiwezi kufungwa kwa sababu nilishawah kusema hapa kuhesabu kete zote za draft kwa kila mitembeo na uzimalize ni hesabu complex sana ndio maana hata hizi program zinafikia level flan za juu za kuhesabu lakin hazimalizi,,,,,
ndio maana hata dalmax ni program lakin inafungwa,,na zimeshawah kuwepo program za draft kibao zikawa strong lakin zilifika mahali zikawa zinafungwa pia mfano kingsrow engine,, checkresboard,,Chinook,,nk...*
Ronaldo fundi mkubwaNenda manyanya ulizia kijiwe Cha draft ulizia matula Tula kina Mangwelele Sisco Ronaldo waambie Mimi Paki Njia ni Tula mwenzenu nahitaji mnifundishe lugha ya Mchezo wa draft na namna ya kucheza draft Nile kichwa Cha mkulima, mfupa mgumu uliowashinda matula Tula nyie!!
Yaani wewe ndiyo unazidi kunivuruga kabisa. Mnatupiga code watanzania wenzenu hivihivi tukishuhudia!!Nenda manyanya ulizia kijiwe Cha draft ulizia matula Tula kina Mangwelele Sisco Ronaldo waambie Mimi Paki Njia ni Tula mwenzenu nahitaji mnifundishe lugha ya Mchezo wa draft na namna ya kucheza draft Nile kichwa Cha mkulima, mfupa mgumu uliowashinda matula Tula nyie!!