Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
-
- #281
Miaka ya 2000 , KWENYE Madraft mafundi walikuwa MANGWELELE, SHABAN KATOTO,BEDUI ,KINA MAREHEMU MCHAFURonaldo fundi mkubwa
Nazani nilijitaidi kuelezea kwamba mkataba huu Kwa Ronaldo utakua mgumu Kwa mkulima..kama upo playok utakua umeona sana game mkulima vs ashkelon zinavyokua..baada ya Ronaldo kumshtukia mkulima anasema live mkikutana kwamba ukicheza nae ckuzote usiishambulie kwakua iyo ni program..Kama unamjua kiuhalisia Sisco,noel, Ronaldo na umewai kuongea nao wanajua kama mkulima ni program anatumia,,
na sio mara ya kwanza noel,Sisco wanacheza na mkulima ,,Sisco alifungwa 2-0 na mkulima mda sana tuu na akawa anasema ni program..babaaskofu yani noel kma ww ni member wa playok tumeona game zao nyingi tuu.. ndio maana kina java wanasema watu watafute sare interm kama kujipima na program tuone uwezo wa vijana umekua Kwa kiasi gani..
Mkulima anasemekana ni amani sanga ambae kiukwel ni tura tuu live..
Kama ww ni member wa playok Kuna mwamba anatusumbua anaitwa ashkelon ambaye ni Ronaldo anatoa sana droo na mkulima Kwa sababu anakuambia iyo ni program usiishambulie kwasababu mkulima hashambulii ukikosea kidogo iyo chumaaa..
Mtu pekee alieingia nyavuni kwake ni David mbeya tuu..ni ngumu mtu kucheza game 200 na zaid bila kufungwa hasa na wakubwa wenzako..
Sisco
Sisco ni mzuri na anatumia nafasi yake kua juu apige pesa Kwa Sasa..
Kuhusu kumtukana Ronaldo ni Ile bifu tu yakimakundi coz Sisco,nduli,noel ni kundi Moja..na Ronaldo hataki kucheza sikuizi na mmoja wao yoyote wengine wakiwepo..yani akicheza na noel hataki Sisco na nduli wawepo java aliweka 800k iliwacheze noel na cr7..cr7 akaweka kipingamizi iko..
Noel
Noel anapata shida sana akienda kazini..kurudi anakuta vijana wamejiupdate mnoo kwaiyo anapata shida kwakua mkoani hmna mabingwa wakubwa..mfano jamaa apo juu amemtaja msomali ambako tunamjua akija manyanya ni mchezaji wa kawaida..refer game ya omary kiwembe vs noel
Alipata shida mno akafa 4-1..kina Sisco daily wanajiupdate..
Nduli
A very good consistent man Inatosha kumdescribe ivo..akipoteana kidgo atamuita Sisco,noel ampe kitu..
Chess huu mchezo ni mgumu mno ndio mana watz tumeukimbia..
Currently Kwa Sasa Sisco ni mkubwa mnooo..
My believe huu mkataba wa droo wakimpa Ronaldo anaweza toboa,,just a believe.. kwasababu wamecheza games nyingi mkulima akashinda 2..
Draft raha sana.. wengine cc wenye point 1500 za kudandadanda tunateseka mnoo..
Kweli kabisa hao wote wakali na wanaweza kufungwa Noel CR7 NDULI ISSA SiSKO hawa ndio mabingwa ispokuwa huyu mkulima mm sio shabiki ake siwezi shabikia kitu nisichokiona hata siku moja live wakati uwezekano wake kutokea live katika benchi upo na yeye hatakiMiaka ya 2000 , KWENYE Madraft mafundi walikuwa MANGWELELE, SHABAN KATOTO,BEDUI ,KINA MAREHEMU MCHAFU
Ronaldo ndiye alianza kuwafunga na kutoa dhana ya kuwa wakubwa pia wanaweza kufungwa
Ronaldo aliingia kweny game kibabe sana kwasababu kijiti Cha ubingwa kilitoka Kwa mangwelele kikaingia Kwa Shaban katoto..wakiamini Shaban katoto hafungiki..siku akapata chance nae ndo apo jina la Ronaldo likajulikana.. alishinda 3-0..Kila game baada ya apo katoto anatafuta sare..Miaka ya 2000 , KWENYE Madraft mafundi walikuwa MANGWELELE, SHABAN KATOTO,BEDUI ,KINA MAREHEMU MCHAFU
Ronaldo ndiye alianza kuwafunga na kutoa dhana ya kuwa wakubwa pia wanaweza kufungwa
True chukua simu mbili weka gemu ya draft moja ili na jingine kama dalmax kisha omba mechi na mtu akianza yeye kucheza na wewe cheza hivyo hivyo kete aliyo sukuma kwenye dalmax kisha dalmax itacheza kete itakayo chezwa na dalmax na wewe icheze hiyo hiyo hivyo huyo mpinzani wako atakuwa anacheza na kompyuta akijidanganya anacheza na wewe.That's why hataki kujionyesha
Ninacho kuambieni ni cha kweli huyo mkulima usikute hata draft ajui kucheza ila anatumia programu za simu au komputa za draft ila mimi aniwezi hata akitumia hiyo mbinu nimecheza madraft magumu yote ya kompyutaThat's why hataki kujionyesha
Nataka nikujaribu twende tanzania draft online tucheze mm natumia dalmax ww usitumie nione ukitoka salama aisee nitakukubali na nitakuwa mwanafunzi wakoNinacho kuambieni ni cha kweli huyo mkulima usikute hata draft ajui kucheza ila anatumia programu za simu au komputa za draft ila mimi aniwezi hata akitumia hiyo mbinu nimecheza madraft magumu yote ya kompyuta
Mkulima SiO mtu ni zombi aka robot! Mara waseme ni program anatumia ila Ukweli kashindikana kwasasa na hataki sura Wala jina lake halisi lijulikane na matula Tula wote wenye majina bongo!Scars umeona zile sare alipokuwa anasakwa mkulima na katoa sare wakati sie wengine tunapanga pale goli yaan kama kaniacha hoi mkulima aisee yule jamaa ni mtu hatari
That's why jana tumeshangaa kweli kashindwaje mkulima kushinda michezo 24 kwa ronaldo au nae kiwango chake kimeshafika mwisho au watu washamujulia maana ndani ya siku 2 waliwapiga Noel 3 na sisco 2Mkulima SiO mtu ni zombi aka robot! Mara waseme ni program anatumia ila Ukweli kashindikana kwasasa na hataki sura Wala jina lake halisi lijulikane na matula Tula wote wenye majina bongo!
Hakuna stori ya mkulima kufungwa na matula Tula wote wa manyanya kina Mangwelele Sisco Ronaldo sijui meno ya kenge au Mamba msomali na wengine!
Yah Nduli Ni timu moja na Sisco ,Ronaldo aliingia kweny game kibabe sana kwasababu kijiti Cha ubingwa kilitoka Kwa mangwelele kikaingia Kwa Shaban katoto..wakiamini Shaban katoto hafungiki..siku akapata chance nae ndo apo jina la Ronaldo likajulikana.. alishinda 3-0..Kila game baada ya apo katoto anatafuta sare..
Ndo maana adi leo katoto hamkubali cr7 yy yupo na kina noel..
Ila kwangu one among of consistent player ni nduli..nduli ndio mtu mbaya sana kimya kimya alikua akiingia kweny nyavu za katoto enzi zake,,kaingia sana Kwa cr7,,ila Sasa anapata shida Kwa Sisco kwasababu wanadiscuss wote mabao..
Dalmax mbona Linapigwa SUTI kila Siku na linakuwa 100%True chukua simu mbili weka gemu ya draft moja ili na jingine kama dalmax kisha omba mechi na mtu akianza yeye kucheza na wewe cheza hivyo hivyo kete aliyo sukuma kwenye dalmax kisha dalmax itacheza kete itakayo chezwa na dalmax na wewe icheze hiyo hiyo hivyo huyo mpinzani wako atakuwa anacheza na kompyuta akijidanganya anacheza na wewe.
Sasa anatumia program Gan hiyo,Ninacho kuambieni ni cha kweli huyo mkulima usikute hata draft ajui kucheza ila anatumia programu za simu au komputa za draft ila mimi aniwezi hata akitumia hiyo mbinu nimecheza madraft magumu yote ya kompyuta
Wewe Ni mdau mkubwa wa DraftMkulima SiO mtu ni zombi aka robot! Mara waseme ni program anatumia ila Ukweli kashindikana kwasasa na hataki sura Wala jina lake halisi lijulikane na matula Tula wote wenye majina bongo!
Hakuna stori ya mkulima kufungwa na matula Tula wote wa manyanya kina Mangwelele Sisco Ronaldo sijui meno ya kenge au Mamba msomali na wengine!
Mashabiki wake tupo wengi inafaa ajitokeze ajulikane avishwe taji na kuua stori za matula Tula wa manyanya wenye majina makubwa Huku draft hawajui!
Mi namuandaa bingwa mpya wa draft dogo mbishi sana simtaji kwa Sasa! Ila Yuko Chanika! Nataka kuanza kudhamini mapambano yake!
Mangwelele ni senior ninamfahamu ila sijaona akicheza zaidi ya Kufundisha matula wenzake wa manyanya ambao huwatumia jamaa Zangu flani madraft yaliyorekodiwa namna ya kukabili Kila kete anayoanza nayo mpinzani. Ukweli matula Tula wa manyanya wako mbali kwenye kopi za draft we unaenda kucheza nao kawaida wao wanacheza kwa kopi Kila kete utakayosukuma wao wanajua kete ya kujibu wamekariri mabao yote kichwani matula Tula wa manyanya ni kiboko huwafungi hata uje umeroga!
Ila mkulima ni kiboko yao matula wote tz!
RonaldoNimesoma comments zote.
Hongera Aaron Arsenal
Hongera Scars
Hongera dronedrake
Hongera Zuga
Hongera Lycaon pictus
Nimeanza siku vizuri.
Hata hivo kuna kitu kimoja naombeni...
Muweke hapa picha ya Ronaldo na huyo mwalimu wa Iringa Noel, niwaone wanavofanania.
SiscoNimesoma comments zote.
Hongera Aaron Arsenal
Hongera Scars
Hongera dronedrake
Hongera Zuga
Hongera Lycaon pictus
Nimeanza siku vizuri.
Hata hivo kuna kitu kimoja naombeni...
Muweke hapa picha ya Ronaldo na huyo mwalimu wa Iringa Noel, niwaone wanavofanania.
Ili pambano daa litakuwa tamu ingawa mm nilitamani CR7 VS NOEL