DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

Scars


[emoji91][emoji91][emoji91] EXCLUSIVE [emoji91][emoji91][emoji91]



MKULIMA[emoji89] vs MWANA SAYANSI




MDA: SAA 4 USIKU LEO 6/1.




MKATABA:

WEMBE NI ULE ULE ULIO MNYOA MAMA NGINA[emoji89]

RONALDO AZUIE SARE NGOMA 24

NB: SARE maana yake usizidiwe IDADI YA MAGOLI, Aidha USIFUNGWE KABISA au MAGOLI YAWE SAWA AU UZIDI IDADI ya MAGOLI ya KUFUNGANA [emoji89]




RONALDO ajulikanaye kama MWANAYANSI wa KARNE YA 21 amejinasibu vikali kuwa yeye ndio mchezaji pekee katika SAYARI YENU mwenye uwezo wa kumzuia MKULIMA [emoji89]



Code:
JE RONALDO ATAFANIKIWA ADHIMA HII?????????? ONLINE PAZITO LEO!!!!
``` 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


```ZAWADI:
[emoji91] 40K +20k Mzee @⁨+255 754 710 183⁩ [emoji91]

(Yoyote anaye penda kuongeza zawadi hii, awasiliane na MKOMEKA kwa namba 0747129732



HII GAME NZITO SAAAAANA WAZEE[emoji91][emoji91][emoji91]
 
MKUKIMA KAKIMBIA SARE HILI BAO

MKULIMA MWENYE NYEUPE

KASHINDIKANA
Screenshot_20230106-231323.jpg
 
We utakuwa labda unamsemea Msomali mwingine feki na sio huyo

Huyu naekwambia ukitoa sare anakupa 5,000/= na ukimfunga anakupa mkono na 10,000/=

Jamaa anajua huu mchezo
Yuko wapi huyo mimi nije kumfunza draft na nimlie visenti vyake maana mimi nipo vizuri licha sichezi hayo madraft ya mitaani draft ninacheza kwenye computer na simu tu kama draft la dalmax hard100% wastani wangu michezo 10 nashinda 6 dro 2 na nafungwa 2
 
Yuko wapi huyo mimi nije kumfunza draft na nimlie visenti vyake maana mimi nipo vizuri licha sichezi hayo madraft ya mitaani draft ninacheza kwenye computer na simu tu kama draft la dalmax hard100% wastani wangu michezo 10 nashinda 6 dro 2 na nafungwa 2
Uko vzr
 
Ni kwa vile hufatilii madraft

Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k

Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA

tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya

Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
Kwani huyo mkulima ni mtu au computer?
 
Mkulima mafia sana aisee, anakutamanisha kama unapata vile kumbe sare nyeupe tu
IMG-20230106-WA0007.jpg
 
Huyo mkulima ni undisputed player hivyo mabingwa wa draft tanzania hakuna anaweza kumfunga hivyo yeye anakupa sare michezo 24 maana yake katika michezo iyo asipokufunga wewe ni bingwa
Mimi si amini kuwa ni bigwa kweli nimecheki anavyo cheza ni kawaida sana bora niendelee kupambana na DALMAX tu ndiyo naendana nayo
 
Back
Top Bottom