Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
- #221
Hajulikani aiseeMkulima watu hawamjui?
Karibu ONLINE Kuna kipute
Ronaldo ameamua kuja kuokoa jahazi sababu ya Mkulima kutamba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajulikani aiseeMkulima watu hawamjui?
MKULIMA[emoji89] anaingia ONLINEEXCLUSIVE [emoji91][emoji91][emoji91]MDA: SAA 4 USIKU LEO 6/1.MKATABA: RONALDO AZUIE SARE NGOMA 24 NB: SARE maana yake usizidiwe IDADI YA MAGOLI, Aidha USIFUNGWE KABISA au MAGOLI YAWE SAWA AU UZIDI IDADI ya MAGOLI ya KUFUNGANA [emoji89]JE RONALDO ATAFANIKIWA ADHIMA HII?????????? ONLINE PAZITO LEO!!!!
```
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
```ZAWADI:
Tena katika muda sahihiScars Kuna mechi Ronaldo na mkulima online imeanza
Ronaldo anatumia hiyo MAPROSSOView attachment 2471435
[emoji1787][emoji1787] kila mchezo una CODE zakeHii nchi ina siri nyingi sana, hivi mnaweza mkaamini kuwa mimi sielewi hata kimoja kinachojadiliwa hapa, haki ya nani tena sielewi kitu.
Vipi draft la dalmax unaliweza vizuriHuyo Sisco akizuia ata sare tatu katika michezo mitano. Sitacheza tena draft hapa duniani
Yuko wapi huyo mimi nije kumfunza draft na nimlie visenti vyake maana mimi nipo vizuri licha sichezi hayo madraft ya mitaani draft ninacheza kwenye computer na simu tu kama draft la dalmax hard100% wastani wangu michezo 10 nashinda 6 dro 2 na nafungwa 2We utakuwa labda unamsemea Msomali mwingine feki na sio huyo
Huyu naekwambia ukitoa sare anakupa 5,000/= na ukimfunga anakupa mkono na 10,000/=
Jamaa anajua huu mchezo
Uko vzrYuko wapi huyo mimi nije kumfunza draft na nimlie visenti vyake maana mimi nipo vizuri licha sichezi hayo madraft ya mitaani draft ninacheza kwenye computer na simu tu kama draft la dalmax hard100% wastani wangu michezo 10 nashinda 6 dro 2 na nafungwa 2
Kwani huyo mkulima ni mtu au computer?Ni kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
Magwelele kila Siku tupo nae ,Siku hizi hachezi ,Juzi hapa alikuwa anaumwaKabla hamjaendelea hebu nendeni mbagala alafu ulizieni mtu mmoja anaitwa mangulele, anaweza kua ndo professor wa draft apa bongo
Ni mtu bhanaKwani huyo mkulima ni mtu au computer?
Mimi si amini kuwa ni bigwa kweli nimecheki anavyo cheza ni kawaida sana bora niendelee kupambana na DALMAX tu ndiyo naendana nayoHuyo mkulima ni undisputed player hivyo mabingwa wa draft tanzania hakuna anaweza kumfunga hivyo yeye anakupa sare michezo 24 maana yake katika michezo iyo asipokufunga wewe ni bingwa
leo nimeamini mkulima program zile sare duu