NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Huyu nduli si wakitundamkulima na nduli lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu nduli si wakitundamkulima na nduli lini
IPO pending ,ratiba itatokamkulima na nduli lini
Mbez louis hamna kijiwe kikali pale.Kijiwe gani hatari cha Draft Mbezi Luis ili nikajipime???
Labda usogee kimaraKijiwe gani hatari cha Draft Mbezi Luis ili nikajipime???
Mwambie photographer atende kazi yake kwa weledi.EXCLUSIVE
Timu: Dogo Sisco Vs Cr7 Mnyama ( Confirmed )
Mdhamini: Boss Java
Zawadi: 300,000/= (winner 200k na Looser 100k )
Lini: Jumapili tarehe 15 January 2023 Saa tisa kamili jioni
Wapi: JAVA FAMILY LOUNGE ( Kitunda )
Mfumo: Ngoma 24 - Omary John + tege kumi za mzee Ngapu
Mratibu: Masta Mtemi (15,000)
Photographer : Masta Mtemi
Kamisaa: Fidelis (10,000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila kutakuwa na nauli ya shilingi laki moja kwa atakaefungwa kama Kifuta jasho na endapo mechi itaisha sare hawa jamaa watapewa laki na ishirini kila mmoja
Tajiri Mkubwa JAVA amesema wacha kiwake,, Wazaramo wanasema hawana ulimbo wa kutegela Ng'onzi,, na Waswahili wanasema asie na mwana aeleke Jiwe[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Mama Mkanye Mwanao
STAY TUNEDMechi ipi mkuu
Alikuja manyanya akamfunga na Sisco?KUNA MWAMBA KAVAMIA MANYANYA
WANAHISI NDIYE MKULIMA
Chrispini whoziambo ,, Ndie aliemsafisha Sisco jana,, ila Dogo Sisco alikuwa hamjui naomba tumsamehe tu,, huyu hata british anazuia sare tatu ila kingi hairuki ndio Bingwa wa duniaView attachment 2476802