Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,660
Fafanua kidogo hapo kwenye utajiri wa Kongo.. kufukiwa chini ndio nini? Maana kama ni utajiri wa rasilimali nasisi tumo tena kuwazidi
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hapana, kwa rasilimali za ardhini Congo wako vizuri sana kuzidi Tanzania, pale Congo kuna mawe ya kila aina tena kwa wingi na bado kuna black gold (oil and Gas)