Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kuvuka ziwa bado hakutakuwa na connection nzuri kule Rwanda na Burundi kungekuwa rahisi zaidi.Usafiri kupitia ziwa Tanganyika ukitengemaa kama mipango na utekelezaji ilivyo mbona kitaumana hapo kati!?..ni suala la muda tu...