Fafanua kidogo hapo kwenye utajiri wa Kongo.. kufukiwa chini ndio nini? Maana kama ni utajiri wa rasilimali nasisi tumo tena kuwazidi
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Uunajipongeza kujenga bwawa la kuzalisha megawatt 2000 tuHapana, najipongeza kuwa katika taifa la Tz ambalo limshtuka mapema kuanza mtadi mkubwa wa Rufiji kabla hatujaachwa kwenye mataa na majirani wanaotuzunguka
Ukiachilia mbali almas,dhahabu n.k hujui kuwa tuna matrilioni ya gesi asili baharini?, Gesi nyingine juzijuzi ya helium wamegundua bonde la ufa? Hujui kuwa tuna mabilioni ya tani za makaa ya mawe? Hujui tuna hifadhi ya kutosha ya Madini ya atomic marogoro? Maliasili zingine kama bahari,na wanyama?hakuna nchi Africa imewazidi congo kwa utajiri wa chini ya Ardhi,sisi tumezidi nchi kama kenya , uganda nk sio congo. unajua hata computer,smart phones nk baadhi ya material yanatoka congo ? unajua mabomu yale ya atomic yalitengenezwa kwa material ya congo ? yani wana almasi,dhahabu,copper ,cobalt nk
Na huo ndiyo ukweli wenyewe.aiseee basi congo ni nchi tajiri kuliko zote barani afrika
Hakuna mtu anayetumika hata.Utajiri wa Rasilimali ofcourse, shida ni kuweza kuzitumia hizo rasilimali ili ziingize pesa, shida ipo hapo tu. Ni kama sisi tunavyowekewa vikwazo vya kimazingira wakati wa ujenzi wa Rufiji, ona Lissu na Zitto wanavyotumika vibaya kukwamisha hili bwawa, ni ushenzi tu!
Nyerere wakati wa kupata uhuru alitakiwa avichukue hivi vi Rwanda na Burundi halafu tukaichomoe hiyo Kivu huko Congohakuna nchi Africa imewazidi congo kwa utajiri wa chini ya Ardhi,sisi tumezidi nchi kama kenya , uganda nk sio congo. unajua hata computer,smart phones nk baadhi ya material yanatoka congo ? unajua mabomu yale ya atomic yalitengenezwa kwa material ya congo ? yani wana almasi,dhahabu,copper ,cobalt nk
Lakini haziwasaidii wa Congo wenyewe.Hapana, kwa rasilimali za ardhini Congo wako vizuri sana kuzidi Tanzania, pale Congo kuna mawe ya kila aina tena kwa wingi na bado kuna black gold (oil and Gas)
Ukiachilia mbali almas,dhahabu n.k hujui kuwa tuna matrilioni ya gesi asili baharini?, Gesi nyingine juzijuzi ya helium wamegundua bonde la ufa? Hujui kuwa tuna mabilioni ya tani za makaa ya mawe? Hujui tuna hifadhi ya kutosha ya Madini ya atomic marogoro? Maliasili zingine kama bahari,na wanyama?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Lakini haziwasaidii wa Congo wenyewe.
Hakuna mtu anayetumika hata.
Kwahiyo Magufuli naye alitumika kukwamisha mradi wa Gas ?
Ukiachilia mbali almas,dhahabu n.k hujui kuwa tuna matrilioni ya gesi asili baharini?, Gesi nyingine juzijuzi ya helium wamegundua bonde la ufa? Hujui kuwa tuna mabilioni ya tani za makaa ya mawe? Hujui tuna hifadhi ya kutosha ya Madini ya atomic marogoro? Maliasili zingine kama bahari,na wanyama?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nyerere wakati wa kupata uhuru alitakiwa avichukue hivi vi Rwanda na Burundi halafu tukaichomoe hiyo Kivu huko Congo
Hakuna madini ya atomic labda kama ulitaka kusema madini ya uranium.
Lakini haziwasaidii wa Congo wenyewe.
Hata kama hao wengine waligoma angeingia Rwanda na Burundi kuwa na access na Congo ingekuwa rahisi sana.ulikuwepo mpango wa kuunganisha nchi za kenya,uganda,Tz,rwanda,Burundi ,zambia,Zaire ziwe nchi moja ila tatizo hakuna mtu alitaka kumpa mwenzie urais, lakini wangekubaliana kipindi kile alafu leo tungekuwa tumeungana basi tungekuwa mbali mno
mkuu mpaka kufikia miaka ya 80 misitu ya Congo zaidi ya 80% ilikuwa bado binadamu hajaitembelea yote,yani ilikua unexplored ikawa inasemekana kuna viumbe wa ajabu huko ndani
Hata kama hao wengine waligoma angeingia Rwanda na Burundi kuwa na access na Congo ingekuwa rahisi sana.
Sasa hivi Rwanda na Uganda wanapambana kunyonya kila kilichopo Congo kwa mgongo wa waasi
Kwahiyo kawaachia wajibebee gas watakavyo ?Mladi wa gas haukuwa wa kunufaisha inchi ulikuwa wakuumiza nchi, ndo maana magu akaachana nao akaanzisha miradi yenye tija.
Pamoja na kuwabana lakini itawachukua miaka mingi sana Congo kukaa sawa.ndio mkuu,UG na RW wameiba sana ila sasa hivi tshisekedi amewabana
Hata kama hao wengine waligoma angeingia Rwanda na Burundi kuwa na access na Congo ingekuwa rahisi sana.
Sasa hivi Rwanda na Uganda wanapambana kunyonya kila kilichopo Congo kwa mgongo wa waasi