Naamini hata viongozi wa Congo-DRC wamepewa fedha,sidhani kama wananchi wanajua kinachoendea,wao anything from the government is right.NiMaadamu watapewa pesa lazima wakubali tu.
Japo hiyo chanjo kufanyiwa majaribio huku Africa naona ni vizuri maana ikifanikiwa tutakuwa na uhakika wa kuendelea na maisha ya kawaida bila hofu kwani huu ugonjwa ukisambaa sana huku Africa hatutaweza kuudhibiti.
Ukisema nchi za Africa zifungie raia wao majumbani basi njaa itawaua isitoshe hawa wanausalama watatumia hicho kigezo kutesa wananchi hivyo ni bora chanjo ije ianzie huku.
Kapewa posho mkuu.Kwani Obama si ameshatahadharisha kuwa tusikubali hizo vaccines kuingia Africa coz wamezitengeneza makusudi kwa ajili ya kuua waafrika...?
Sasa tena mbona huyu anakubali ziingie huko DRC...?
Bila shaka hujui lolote kuhusu majaribio ya chanjoKwa wanadamu wenye matatizo,ilo tu huwez fikir & nyinyi ndo mnatufanya Afrika tuonekane utumbo,mmekuwa YES MAN kwny kila ki2,ulaya watu wanakufa 500+ kila siku,kwnn wasianzie huko? Ni kwmb kwny majaribio ya chanjo lzm wapandikize maambukiz kupima nguvu ya chanjo,Je ni wote watapewa chanjo NO,Je ambao hawajachanjwa huoni watakua kwnye hatari ya kuugua corona pindi watakapo kuja in contact na maambukiz? Je hawa wanafanya majaribio wako tayari kutake risks za side effects za majaribio yao au ndo watatutelekeza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid, kwani huko Europe hamna binadamu?Dawa za kutibu binadamu huwa zinajaribiwa kwa binadamu, mnataka majaribio yafanyike wapi?
Viongozi wengi wa Africa hawawezi kusema hapana Kwa mtu mweupe, hata kama anajua si mzuri kwakeKwani Obama si ameshatahadharisha kuwa tusikubali hizo vaccines kuingia Africa coz wamezitengeneza makusudi kwa ajili ya kuua waafrika...?
Sasa tena mbona huyu anakubali ziingie huko DRC...?
Tatizo baada ya miaka kadhaa itakuja athiri hadi majirani kwa upoyoyo wa kiongozi mmoja
KwaoDawa za kutibu binadamu huwa zinajaribiwa kwa binadamu, mnataka majaribio yafanyike wapi?
Wamejitolea Kwa hiari yao na sio Kwa amri ya serikali, tatizo huko Africa tutalazimishwa na serikali na tukikataa watawafuata hata watoto mashuleniHata Marekani kuna watu wamejitolea kufanyiwa majaribio
We ndo STUPID kweli
Mimi nikishaelewa anacho maanisha mengine namwachia mwenyeweImprove your grammar Mkuu! Sijui ni errors au mistakes hizi!!
Kikubwa kwao ni kujadili mbinu za kuendelea kung'ang'ania madarakani basiHuo umoja hakuna kitu mkuu yaani ni toothless bull dog hakuna kitu watafanya hapo.
Hakuna atakaye lazimishwa watu wana volunteerWamejitolea Kwa hiari yao na sio Kwa amri ya serikali, tatizo huko Africa tutalazimishwa na serikali na tukikataa watawafuata hata watoto mashuleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikubishii Ila tusubiriHakuna atakaye lazimishwa watu wana volunteer
Na siyo kwamba unapewa chanjo halafu unapewa virusi
Kapewa posho mkuu.