DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

kwakua makamanda wako hapo goma,toka eac na sadc,ngoja tuone itakuaje
 
Mambo mengine muwe mnanyamaza basi.

TZ ipigane na Rwanda kweli?. Si tutapiga nchi nzima kila kona na kila Raia tutampa ulinzi wa JW .
Hizi hoja za kizamani sana zimepitwa na wakati. Vita za saivi ni za kitekinolojia zaidi na sio kuangalia ukubwa wa nchi usidanganyike na ukubwa wa nchi. na kingine hawa wenzetu ni majasiri wa vita wamekulia mazingira ya kupigana vita karibu maisha yao yote.
 
Kama nyie ni wapumbavu acha wawafanye,nyie wanavuka afu mnawachekea?
 
Mkuu si mwambie Kagame ajaribu tu, tujue moja!
Kwa nini kuandikia mate?
 
Hii tabia ya kujifananisha na Waisrael muache hamfanani nao hata chembe, nyie ni wa kawaida sana na over rated sana ila time will tell.
 
Unapata nafasi ya kuto**na huku ukulia kwa utamu kwa sababu kuna wanaume wameacha familia zao wanakulinda wew ...bloodfucken kuwa na adabu
 
Uganda ip? Bongo siku tuna jeshi dhaifu na lisilo na uzoefu wa mikiki , tunapenda kufurahishana sana ,Lzm mjiuiz kwann Pk mpk kesho yupo madarakan kuna sehem katuzid , sisi nchi imelala ,ugaid km wa Mtwara au Kibiti au Pangan kutokea Rwanda ni ngumu , intelligence ipo kazin
 
We unafikiri rwanda anaweza kuwangiza wanajeshi wake
Mpk katikati ya kongo....
Sana sana yeye anavamia maeneo fulani tu na pembezoni mwa kongo
All out war hawezi kufanya kongo hata siku moja

Ova
1997 ulikuwa na umri gan?
 
Vita ni biashara jombaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…