Nakubali Legend wa hili gemu ,nakusauri ili kulinda heshima yako kwenye DLS epukua match na mimi.Kuna jamaa alikuwa anajitamba,
Hana hamu sasa, na haoneshi dalili ya kutaka mechi, nimemkanda mara 2,
Haweki mpira chini ye anapga long ball,
Kila akichomoa namuweka [emoji1787],
Kuna mwingine ana magame ya mpira mengi kwa simu yake, anajiona mwamba,
Nimemkanda haamini, kwa sasa namuona yuko bize kujifua,
Hizo taarifa zako unazitolea kwenye Vyanzo gani wkt ulitakiwa kupost humu tujione hayo maajab sio unacheza na watu ambao sio wa huu Uzi araf unatamba kifupiKuna jamaa alikuwa anajitamba,
Hana hamu sasa, na haoneshi dalili ya kutaka mechi, nimemkanda mara 2,
Haweki mpira chini ye anapga long ball,
Kila akichomoa namuweka [emoji1787],
Kuna mwingine ana magame ya mpira mengi kwa simu yake, anajiona mwamba,
Nimemkanda haamini, kwa sasa namuona yuko bize kujifua,
Nashkuru umenikubali kuwa ni Legenteee,Nakubali Legend wa hili gemu ,nakusauri ili kulinda heshima yako kwenye DLS epukua match na mimi.
SawaHizo taarifa zako unazitolea kwenye Vyanzo gani wkt ulitakiwa kupost humu tujione hayo maajab sio unacheza na watu ambao sio wa huu Uzi araf unatamba kifupi
Anza na Wakipekee ukitoka hapo nenda Kwa
Fene ukimaliza mcheck adriz km mpk hapo utakuwa ujafungwa bhs muone Eng ibird hapo utaleta mrejesho mwenyew wkt Mi nakusubiri
Lkn ukitaka Nyuma Geuka ni saw Unaweza kuanza na Mi Kibonde wa UziSawa
Hapana, ngoja nifate muongozo ulionipaSafari hutokutana na urahisi mimi sio Fene
Njoo chap basiNiseme tu uck wale nitakuwa Live Mjiandae
Ukitaka ulimwengu wa vipondo nipo .Njoo chap basi
Nilkuwa nakutafuta kwa mda mrefu leo umeingia mdomo wa mamba
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Endelea kuwa Live nipo namalizia Majukumu ya NdoaNjoo chap basi
Nilkuwa nakutafuta kwa mda mrefu leo umeingia mdomo wa mamba
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Aibu kubwa sana hii ππππHapo umenifunga leo ila nimeweka hii rekodi mpya hiki ndicho kipindi kikubwa zaidi cha kapa(kwa sifuri) na hii ulikuwa unatamba sana kuwa sijawahi kufikisha goli 5 goal difference sasa leo kikowapi Fene ? Kama ngoma πππ
Tumecheza game 5, umeshinda moja tena ya kwanza tu zilizobaki nimekuvunja kama ngomaHapo umenifunga leo ila nimeweka hii rekodi mpya hiki ndicho kipindi kikubwa zaidi cha kapa(kwa sifuri) na hii ulikuwa unatamba sana kuwa sijawahi kufikisha goli 5 goal difference sasa leo kikowapi Fene ? Kama ngoma [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumpata kiurahisi nenda kwa Johex mtag Kaka yahoo