Dream League Soccer Special Thread

Ninaposema Master huwa sibahatishi ona sasa Nkulu wa nchito timu yake Yange na kikosi change ambacho wachezaji wote wana bluu
Cha ajabu naye kala Rava4 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†Kitaalamu ataitwa kubwa Jinga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mda gn utakuwa online tena cm yangu imezimika chaji najua umenifunga 2-1 nahitaji kulipa deni
Umeona jinsi "Parching style " unavyofanya mpk umestaajabu jinsi magoli yanavyopatikana unapigwa kaunta ya ajabu na nilisema hii style hata mtu awe na wachezaji wenye nguvu kama Hulk watapigwa kama walevi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Fene
 
Umeona jinsi "Parching style " unavyofanya mpk umestaajabu jinsi magoli yanavyopatikana unapigwa kaunta ya ajabu na nilisema hii style hata mtu awe na wachezaji wenye nguvu kama Hulk watapigwa kama walevi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Fene
Game ya kwanza mtandao ulisimama hadi mawe ma 3 nikaanza kupata matokeo ila ulipoanza kukaa ! Ukawa umerudisha goli na kuongeza kamoja.
 
Hamna siyo nne umenifunga 2-1 cm ikazimika chaji sema ukweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mbili kwa mmoja nakubali lakini mimi nafuata jinsi ubao inavyosema kwani kuna kosa gani ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ Yote kwa yote nikuzidi mno mpk unapata red mapema tu.
 
Umeona jinsi "Parching style " unavyofanya mpk umestaajabu jinsi magoli yanavyopatikana unapigwa kaunta ya ajabu na nilisema hii style hata mtu awe na wachezaji wenye nguvu kama Hulk watapigwa kama walevi [emoji23][emoji23][emoji23] Fene
Nimekubali upo vizuri unatoa ushindani
 
Nililazimisha kucheza chaji ilikuwa na 11% ngoma itarudiwa
Poa ,nafurahi kuona natetea taji langu la Umaster humu yaani kila mtu namkalisha mpk raha kwa vile Tz tupo chini kimataifa inabidi serikali ishauriwe kunituma mimi kuwakilisha inchi kwa hiki gemu kimataifa ili nikupe taifa langu heshima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†
 
Nawe tu mbovu kupitiliza
Wewe kivyovyote ukinifunga ninastaafu ramsi hili gemu yaani kila siku ukigusa moto unachapika kama mtoto mdogo halafu unapata ujasiri wa kutoa comment kama hii !
 
Wewe kivyovyote ukinifunga ninastaafu ramsi hili gemu yaani kila siku ukigusa moto unachapika kama mtoto mdogo halafu unapata ujasiri wa kutoa comment kama hii !
Nimeweka halotel hapa vipi nirudishe magoli yangu?
 
Hahahahaha hivi unaundugu na mandonga?
 
Link hii jamani telegram DREAM LEAGUE TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…