Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Drone ya Marekani yaaangushwa na ndege vita ya Urusi huko Bahari Nyeusi

Kwakweli hii ni aibu kwa marekani wanaojiona Superpower kumbe ni Superpower ya mchongo tu na propaganda[emoji23][emoji23]

Ndege ya kivita ya Urusi Su-27 ilipaa angani na kuimwagia mafuta drone ya kivita ya Marekani MQ-9 Reaper na drone hiyo iliangukia kwenye maji.

Marekani inapinga drone hiyo kuchukuliwa na Urusi wakati huo haijulikani drone hiyo iko wapi.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani ni mafuta tu ilimwagiwa na ikapoteza muelekeo bila hata kudunguliwa.

Ndo maana waliogopa kupelekwa silaha wanazojitapaga kuwa ni nzuri kule Ukraine wakijua ni za mchongo tu na watazidi kuaibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Waliombwa F-16 wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa vifaru bora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa makombora wakaingia mitini[emoji23][emoji23]
Wakaombwa F-35 wakawa wakali kama embe ngwangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Badala yake wapo tayari waziombe nchi nyingine zipeleke silaha kwa mbadala wa kupeleka zao na hyo nchi itapewa pesa kuliko wapeleke zao kuhofia wataaibika

Hadi zelensky analia lia tu na kusema kwanini hapelekewi anachoomba..Eti drone imepulizwa na mafuta ya ndege tu yakaidondokea tayari ishapoteza muelekeo bila kudunguliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku wamarekani weusi wa jf wakizisifia hizo drone kuwa ni bora zaidi duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
Muwe mnaacha uongo, shambulizi la urusi halikuidondosha hiyo drone. US wenyewe waliweza kuishua drine yao na ipo salama. Hivyo kama unacha kuongelea basi ungelea kitendo ch hiyo Su-28 kushindwa kuitawanya hiyo drone
 
Muwe mnaacha uongo, shambulizi la urusi halikuidondosha hiyo drone. US wenyewe waliweza kuishua drine yao na ipo salama. Hivyo kama unacha kuongelea basi ungelea kitendo ch hiyo Su-28 kushindwa kuitawanya hiyo drone
Kwani wao walikwambia wanataka kuitawanya au ndio chaka linatafutwa [emoji14][emoji14][emoji14]
Mzigo umeshushwa kama ulivyo na hii ni kuonesha uanaume hasa sio miguvu kibao mmetumia kisa kiputo mmeoneshwa namna ya kutungua kitu ili mkifanyie upelelezi
 
Kwani wao walikwambia wanataka kuitawanya au ndio chaka linatafutwa [emoji14][emoji14][emoji14]
Mzigo umeshushwa kama ulivyo na hii ni kuonesha uanaume hasa sio miguvu kibao mmetumia kisa kiputo mmeoneshwa namna ya kutungua kitu ili mkifanyie upelelezi
Kwani walipokua wakiishambulia walilenga nini?
Kwa hiyo mleta mada asiseme wameiangusha sababu hoyo drone imeshuka salama.
Wao pia hawakulenga kuishusha ndiyo maana walianza kuishambulia.
 
Kwani walipokua wakiishambulia walilenga nini?
Kwa hiyo mleta mada asiseme wameiangusha sababu hoyo drone imeshuka salama.
Wao pia hawakulenga kuishusha ndiyo maana walianza kuishambulia.
Wapi wameanza kuishambulia [emoji28][emoji28]
Wameimwagia mafuta wamevunja propela mzigo umeshuka au umelala mwenzetu hujui kinacho endelea

Imeangushwa na urusi na lengo lilikua ishuke salama na ndio maana wametumia mafuta kama alama itakapo angukia

Hapa hamuna pakujitetea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wapi wameanza kuishambulia [emoji28][emoji28]
Wameimwagia mafuta wamevunja propela mzigo umeshuka au umelala mwenzetu hujui kinacho endelea

Imeangushwa na urusi na lengo lilikua ishuke salama na ndio maana wametumia mafuta kama alama itakapo angukia

Hapa hamuna pakujitetea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Endelea kusimulia unachokitamani kiwe, lakini wenye drine yao walifanikiwa kuishusha salama.
Kwa akili uvunje propellor ya drone na bado wafanikiwe kuishusha salama maana yake si wamekuzidi uwezo hao.
Mtaendelea kupata faraja kwenye uzushi wenu.
Wamepoteza lengo kama walivyoshindwa kuikamata Kyiev ndani ya siku tatu.
 
Mfano mzuri ni pale "old man" aliposema watalinda ardhi ya nchi mwanachama wa NATO kwa nguvu zote.
Halafu Russia akapiga kombora Poland.

Poland na Ukraine wanasema Russia kapiga kombora, Marekani ndio wakwanza kukanusha. Russia kakaa palee anawachora tuu.
Sidhani kama hapa duniani kuna nchi inaiogopa Russia kama Marekani
Ha ha haa!
",Russia kakaa pale anawachora TU"
 
Endelea kusimulia unachokitamani kiwe, lakini wenye drine yao walifanikiwa kuishusha salama.
Kwa akili uvunje propellor ya drone na bado wafanikiwe kuishusha salama maana yake si wamekuzidi uwezo hao.
Mtaendelea kupata faraja kwenye uzushi wenu.
Wamepoteza lengo kama walivyoshindwa kuikamata Kyiev ndani ya siku tatu.
Kwanini waliishusha?

Alafu wakati inaanguka ilifikia wapi?

Mnapenda sana kujipotosha hata nyinyi wenyewe kweli hatari

Alafu unakurupuka unasema wameichukua lini?

Mzigo ndio basi ishakula kwenu

URUSI SIO ZIMBABWE
 
Waambie NATO wache kupeleka silaha uone kama huu mwaka utaisha bila Ukraine yote kupepea bendera za Urusi!
Angalau kuna mmoja anakiri uwezo wa Ukraine kwenye kumkabili Urusi na kumdhibiti asitimize lengo lake.
Sasa labda niulize kaswali kadogo tuu, hivi ulitaka Ukraine apigane na Russia bila ya silaha? Upo serious kweli?
 
Kwanini waliishusha?

Alafu wakati inaanguka ilifikia wapi?

Mnapenda sana kujipotosha hata nyinyi wenyewe kweli hatari

Alafu unakurupuka unasema wameichukua lini?

Mzigo ndio basi ishakula kwenu

URUSI SIO ZIMBABWE
Akyamungu tena hata sielewi unachoandika hapa ni upupu gani?
 
Muwe mnaacha uongo, shambulizi la urusi halikuidondosha hiyo drone. US wenyewe waliweza kuishua drine yao na ipo salama. Hivyo kama unacha kuongelea basi ungelea kitendo ch hiyo Su-28 kushindwa kuitawanya hiyo drone
Rubbish
 
LETE TAKWIMU YA VITA YA VIETMAN HAPA, ACHA KUWA KAMA WASIOJIELEWA WA VIJIWE VYA KAHAWA. VITA ILE VIEFNAM WALIPOTEZA WATU 2M NA US HAWAKUZIDI HATA WATU 60k.
NANI KAPIGWA HAPO?
Kushindwa kwa mmarekani ni kushhindwa kuweka ubepari kule vietnam ila kivita vietnam kapigwa hasa. Wavietnam milioni mbili waliuliwa pale
Ok then...
 
Endelea kusimulia unachokitamani kiwe, lakini wenye drine yao walifanikiwa kuishusha salama.
Kwa akili uvunje propellor ya drone na bado wafanikiwe kuishusha salama maana yake si wamekuzidi uwezo hao.
Mtaendelea kupata faraja kwenye uzushi wenu.
Wamepoteza lengo kama walivyoshindwa kuikamata Kyiev ndani ya siku tatu.
Propeller ya drone ikiharibika maana yake hakuna thrust!Hapa ni sawa na gari iliyo kwenye motion halafu uiweke neutral!Itaendelea kwenda lakini Kwa muda kabla haijasimama!
So kwenye drone Bada propeller kuharibika,Bado inakuwa na velocity Kwa muda fulani kabla ya kuanguka kama free fall!So wakati Bado ikiwa na velocity,pilot anaweza kuicontrol Kwa kuadjust flaps, na rudder ambayo Iko kwenye vertical stabilizer!
So option ya pilot wa drone ni kuiangusha au aiache iende mpaka ijiangukie Yenyewe!
Walichofanya ni kuishusha na kuibamiza kwenye maji Ili kupata maximum destruction kuliko kuiacha iende ipungue speed na ianguke free fall!
Hilo limefanyika Ili hata Russia akiiretrieve basi iwe debri iliyo vipande vipande!
Ndio maana umesikia west wamesema hata Russia akiipata basi hawatapata informations of valuable intelligence!
 
Ngoja wameza taka taka wa habari kama hizi waamke.

Ndege Urusi IMEGONGA Drone ya US ila habari ilivyoletwa ni kana kwamba kulikuwa na makabilino kati ya ndege Urusi na Drone.

Zombies on the beat
It was intercepted, il kwa jinsi unavyoiongelea ni kama ajari ya Lori kugonga Noah pale morogoro road.
 
Back
Top Bottom