Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Hao tukiwafunga goli 2 bila, tukifika kwao tukaze tufungwe hata goli 1 tu, hapo tutakuwa tumetoboa
Labda kama utapatikana mbadala wa Onyango, ile game ya marudiano kati ya Simba Sc na Raja WC niliona mabadiliko chanya ya kiuchezaji kasoro pale kwa Onyango.

Na sikuzote Simba Sc huwa anazingua sana kwenye backline, kiungo na forward sina mashaka.
 
kama kwa Raja nyasi hazikuumia? iweje kwa Wydad...

This is the easiest Game home and Away to Arabs.

natafuta elfu 50 naweka ushindi kwa Waarabu, H & A
Hakikisha siku hiyo nyumbani umeacha hela ya kula, usije ukailaza familia na njaa kwa ujinga wako
 
Wewe ni mganga
Hatua ya makundi ya klabu bingwa Africa imetamatika, hivyo kinachofuata ni draw ya robo fainali itakayoenda hadi fainali.

Simba inawashindani watatu ambao wanaweza kupangwa nao. Timu moja tu kati ya timu hizo tatu ndio ambayo sio ya kiarabu.

Wengi wanatamani kuona mechi ya Simba vs Mamelod ila kwa mimi naombea Simba ipangiwe Wydad Casablanca kwenye mechi ya robo fainali.
 
Makolo mwendo tumeumaliza!!
MASHABIKI%201.JPG
 
Hawa sisi tunawaona wa kawaida ila sasa nyie ndugu zetu mmezoea gemu za kushirkishwa/kualikwa mna panic brothr
Hizi ambazo mpaka mkabeba kuni kwenda kuota moto katikati ya uwanja,mkapigwa faini dola elfu 10 na CAF leo unaziita za kushirikishwa/kualikwa.

Ujue nyie ndio timu ya kwanza ya CAF kubeba kuni kwenye ndege,hamna timu kutoka Afrika iliyowahi kufanya hivyo. Ila may be kwenu inawezekana ikawa mafanikio kusafiri na zigo la kuni kwenye ndege.

Marekebisho ya ile pichi tu mliyo iunguza wameitwa Wataaaaalam kuto UK kurebesha nyie mshazoea kuwapa hasara wenzenu, huku kwa mkapa mling'oaga mpaka viti.

Ila inawezekana zikawa kweli ni za kualikwa na ndio maana wenzetu mkaenda na zigo la kuni may be mlijua kuna kupika.
 
Labda kama utapatikana mbadala wa Onyango, ile game ya marudiano kati ya Simba Sc na Raja WC niliona mabadiliko chanya ya kiuchezaji kasoro pale kwa Onyango.

Na sikuzote Simba Sc huwa anazingua sana kwenye backline, kiungo na forward sina mashaka.
Onyango hana mbadala kwa sasa, tuombe tu awe na siku njema kazini kwenye mechi zote mbili.
 
Back
Top Bottom