Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Huko form four failures, mpaka uliroga ili angalau uvuke robo kwenda nusu.View attachment 2577857
Kama wewe ni mtu wa dini basi umenisikitisha sana kwa ufinyu wa maarifa kuhusu mambo ya kiroho

Moto ni indication ya nuru, ushirikina haupatani na nuru.

Moto ni alama ya ukombozi, moto ni alama ya tumaini jipya na ndio Moses anapousogelea mti unaowaka moto aliambiwa avue viatu kama ishara ya kutii nguvu ya nuru.

Palipo na moto hapawezi kuwa na mchawi, hata ukifatilia stori za wachawi wanakula nyama mbichi kwasababu moto kwao ni sumu.

Kama unanibishia jaribu kumuuliza bibi yeyote wa mtaani kwako
 
Kama wewe ni mtu wa dini basi umenisikitisha sana kwa ufinyu wa maarifa kuhusu mambo ya kiroho

Moto ni indication ya nuru, ushirikina haupatani na nuru.

Moto ni alama ya ukombozi, moto ni alama ya tumaini jipya na ndio Moses anapousogelea mti unaowaka moto aliambiwa avue viatu kama ishara ya kutii nguvu ya nuru.

Palipo na moto hapawezi kuwa na mchawi, hata ukifatilia stori za wachawi wanakula nyama mbichi kwasababu moto kwao ni sumu.

Kama unanibishia jaribu kumuuliza bibi yeyote wa mtaani kwako
Hii elimu inawezakana CAF hawana enh? [emoji1]
 
Hii elimu inawezakana CAF hawana enh? [emoji1]
CAF hawaruhusu kuchoma moto uwanjani, that's it

By the way ukiachana na huyo wa Mbeya City kuna mwananchi hapo
 
Uzuri ni kwamba hata hilo unalolisema likitokea haiwezi kuwa noma

Unajua kwasababu gani?

Kwasababu nimefungwa na timu kubwa tena kwenye mashindano makubwa na magumu.

Ishu ipo kwenye levels zenu za form four failures ambao mmegeuka kuwa resetters na kuanza kujifananisha na sisi
Nijifananishe na wewe naekubomoa nipendavyo!!?..sisi tunaanza kuchukua shirikisho kwanza Kisha tunakuja kuset standard klabu bingwa
 
Al Ahly nilimchapa

Sasa utapima wewe kwa IQ yako kati ya Al Ahly na Hiyo brand ya Samsung ni ipi timu kubwa
Mi nimemchapa Al ahly si Mara moja na kwake kaponea penati,siku ukitoa sare na ahly kwake utapiga kelele sana
 
Nijifananishe na wewe naekubomoa nipendavyo!!?..sisi tunaanza kuchukua shirikisho kwanza Kisha tunakuja kuset standard klabu bingwa
Hata ile misimu iliyopita tulikuacha hivi hivi uchezee sharubu za Simba

Kwasababu focus yetu haikuwa ndani.

Ila tulipoona kelele zimekuwa nyingi ndio tukaamua tulipige pigo la kimbari 4-1

Sasa we tambaaa kisha tukiamua sasa tunakuja na pigo mara mbili ya pale
 
Hata ile misimu iliyopita tulikuacha hivi hivi uchezee sharubu za Simba

Kwasababu focus yetu haikuwa ndani.

Ila tulipoona kelele zimekuwa nyingi ndio tukaamua tulipige pigo la kimbari 4-1

Sasa we tambaaa kisha tukiamua sasa tunakuja na pigo mara mbili ya pale
Mkifunga yanga goli nyingi jua panakua na mgogoro yanga,yanga pasiwe na mgogoro wewe hutambi,ndiyo Kama Sasa hivi
 
Mkifunga yanga goli nyingi jua panakua na mgogoro yanga,yanga pasiwe na mgogoro wewe hutambi,ndiyo Kama Sasa hivi
Mgogoro au ni Simba imeamua jambo lake?

Simba ikiamua jambo lake haiwezi kuzuiliwa na chochote
 
makolo wamevamia mtumbwi wa vibwengo wataenda kuchukua khamsa khamsa.
 
Hakuna shida timu zote kubwa 2nacheza nazo kila msimu! Hakuna jipya tunaende

Itoshe tu kusema tumewa inspire hata nyie kuwepo huku
Kwa ile style yenu ya kuota moto katikati ya uwanja ,hamja tuinspire kabisa kwani Yanga tunacheza pira Sayansi na si hizo style zenu mnazo zitegemea mara mrudi kinyumenyume mara muote moto.
 
Back
Top Bottom