Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Kundi jepesi? Visingizio vimeanza mapema?Bado hujazaliwa upya mkuu! Sijui Simba wana mchawi gani toka Mars!
Katika makundi yote wao Simba ndo wana kundi jepesi kama karatasi japo nakuunga mikono na miguu hawafiki hata kibaha kwa matiasi!
Ulisema CAF hawawezi kutumia takwimu za miaka mitano nyuma. Vipi bado msimamo wako uko vile vile?Siyo ya CAF ni ya kiulimwengu maana yake hata CAF ipo ndani yake na wanahusika moja kwa moja kutoa data zinazohusu Club za AFRICA
Mbona tulishaaibika vya kutosha, ilikuwa bila kupigwa mkono hatuamini game imeisha.Kuna team inaenda kuaibika huko aibu ya taifa inakuja.
Lini imeyumba kwenye michuano ya kimataifaSimba haija yumba si ndio?
Hilo bado nalifanyia researchUlisema CAF hawawezi kutumia takwimu za miaka mitano nyuma. Vipi bado msimamo wako uko vile vile?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Likuepukalo lina kheri na wewe.Al Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa
Kulikuwa kuna red cards 2.Hiyo ya 0-6 kuna magoli ma 4 ambayo Yanga walifungwa wakabisha
Yanga wana bahati nzuri sana..😂😂Al Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
😂😂😂😂😂😂😂!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa
Sasa si kwa ujinga waoKulikuwa kuna red cards 2.
Unanipa wasiwasi juu huu ushabiki wako wa mpira, kama jambo dogo kama hilo hukulijua siku zote hizo.Hilo bado nalifanyia research
Kwa maana hiyo haujui Simba wana point ngapi za CAF na wamezipataje hizo pointHilo bado nalifanyia research
Kama nakupa wasiwasi, chukuaUnanipa wasiwasi juu huu ushabiki wako wa mpira, kama jambo dogo kama hilo hukulijua siku zote hizo.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Sijui kila kitu hata hizo point zenyewe ndio kitu gani?Kwa maana hiyo haujui Simba wana point ngapi za CAF na wamezipataje hizo point
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Uzuri ni kwamba, utopolo mnajulikana wala haiitaji maneno mengi kuwaelezea.Afadhali amekuwahi umejinusuru aibu kwa sababu baada ya mechi za makundi haitakuwa hivyo.
Endelea kuishi kwa kukariri. Unadhani maisha yameganda kama ilivyo kwako.Uzuri ni kwamba, utopolo mnajulikana wala haiitaji maneno mengi kuwaelezea.
Kweli mambo hayafati itifakiMpira hauna formula mkuu kwamba kwavile A kafungwa na B basi C nae atafungwa kama alivyofungwa pia. Ingekuwa hivyo basi hata Yanga aliyemtoa Club African apigiwe hesabu hizo hizo.View attachment 2443999
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Wacha Utopolo wajipeleke kichwakichwa & matokeo mkononiKweli mambo hayafati itifaki
View attachment 2446740
Haina haja ya kuangaika kote huko, tujipe muda tusubiri kitakachojiliKweli mambo hayafati itifaki
View attachment 2446740