OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #261
Kule Tunisia Yanga atakula 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho Al Ahaly mabingwa wa kihistoria Champions league waliwatowa Yanga chovu kwa penati kwao Cairo, msikariri.Kule Tunisia Yanga atakula 5
Kama hujui historia ya mpira wa africa bora ukanyamaza, yaan useme club africain hawana jina kwenye soka la africa, umezaliwa jana au juzi? Maana hawa kila mwaka wapo huko shirikisho washafanya makaz yao kama walivyo pyramid na berkaneSiwajui hawa jamaa na hawana jina kwenye soka la Africa na isitoshe Kipanga ni jamii ya kina Zalan tu siyo kipimo cha kufanya analysis.
Hapa ndio anataka kuona Uprofesa wa Nabi na mikakati ya viongozi wa Yanga.
Kwa hiyo hiyo hizo timu za 98 ndio zinaenda kucheza? Sisi tunazungumzia Nov,22 wewe unaleta stori za awamu ya MkapaMara ya mwisho Al Ahaly mabingwa wa kihistoria Champions league waliwatowa Yanga chovu kwa penati kwao Cairo, msikariri.
TutatoboaHapo Yanga SC nafuu kwao ni DCMP ya Congo, kwa hao waarabu wote Yanga hatoboi labda itokee miujiza.
Kipimo sahih San hikiYanga Wana bahati mbaya sana sana View attachment 2390983
Hapo Sasa ,ni Original.
Wale walikuwa Chotara wa Kizigua[emoji41]View attachment 2391263
Na we usikariri historia Tu hizo....na wakati huo Al ahly nao walikuwa wachovu ..yanga ilikuwa ya kina Emmanuel okwi, Daniel Ngoma na kina msuva ..ulinzi cannavaro, n golini munishi dida unataka kusema Ile ilikuwa yanga mbovu.? Acha kutuongopea Mzee[emoji23]Mara ya mwisho Al Ahaly mabingwa wa kihistoria Champions league waliwatowa Yanga chovu kwa penati kwao Cairo, msikariri.
Mijitu ya yanga sio wstu wa football. Yaan jitu linauliza maswali ya kuonesha ujinga alionao. Miaka 24 hakuna group stage. MABWEGE SN NYIEzinakusaidia nini izo pointi
Ukiona timu imepewa kuanzia nyumbani ujue ndio kibonde hicho!Kwa Mkapa november 2 alafu marudiano november 9 Tunisia machinjioni huko a.k.a Gongo la mboto.
Na ndo hapo Yanga ataenda kupigwa goal zaidi ya 5.Habari yako imejaa uongo mwingi,hasa pale ulipoandika wanamiliki uwanja wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 60,000/=
Unakuaga na mikosi kila unalo ombea linakwama
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.
Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.
Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.
Aprili 2, 2023
===
Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.
POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!
POT 1
[emoji1078] TP Mazembe
[emoji1081] ASEC Mimosas
[emoji1159] Djoliba
[emoji1149] Ahli Tripoli
[emoji1029] Primeiro de Agosto
[emoji1235] Royal Leopards
[emoji1059] Kadiogo / [emoji1078] Vita Club
POT 2
[emoji1081] Gagnoa
[emoji1159] AS Real
[emoji1149] Al Akhdar
[emoji1221] Royal AM
[emoji1078] Eloi Lupopo
[emoji1221] Marumo Gallants
[emoji1173] AS FAR
[emoji1093] Future FC
[emoji1077] Diables Noirs
POT 3
[emoji1184] Rivers United
[emoji1184] Plateau United
[emoji1183] Nigelec
[emoji1249] US Monastir
[emoji1213] La Passe
[emoji1244] ASKO de Kara
[emoji1060] Flambeau du Centre
[emoji1221] Cape Town City
[emoji1241] Young Africans
POT 4
[emoji1026] USMA
[emoji1173] RS Berkane
[emoji1093] Pyramids
[emoji1249] CS Sfaxien
[emoji1149] El Nasr
[emoji1249] Club Africain
[emoji1078] DCMP
Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.
Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
Soma kwa sauti bila kuliaKamati ya mazishi mimi naahidi kununua sanda kule Tunisia maana nimesikia mmeamua kwamba mazishi yawe kulekule.
Ati nini?Hapo Sasa ,ni Original.
Wale walikuwa Chotara wa Kizigua[emoji41]View attachment 2391263
Asante studio
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.
Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.
Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.
Aprili 2, 2023
===
Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.
POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!
POT 1
[emoji1078] TP Mazembe
[emoji1081] ASEC Mimosas
[emoji1159] Djoliba
[emoji1149] Ahli Tripoli
[emoji1029] Primeiro de Agosto
[emoji1235] Royal Leopards
[emoji1059] Kadiogo / [emoji1078] Vita Club
POT 2
[emoji1081] Gagnoa
[emoji1159] AS Real
[emoji1149] Al Akhdar
[emoji1221] Royal AM
[emoji1078] Eloi Lupopo
[emoji1221] Marumo Gallants
[emoji1173] AS FAR
[emoji1093] Future FC
[emoji1077] Diables Noirs
POT 3
[emoji1184] Rivers United
[emoji1184] Plateau United
[emoji1183] Nigelec
[emoji1249] US Monastir
[emoji1213] La Passe
[emoji1244] ASKO de Kara
[emoji1060] Flambeau du Centre
[emoji1221] Cape Town City
[emoji1241] Young Africans
POT 4
[emoji1026] USMA
[emoji1173] RS Berkane
[emoji1093] Pyramids
[emoji1249] CS Sfaxien
[emoji1149] El Nasr
[emoji1249] Club Africain
[emoji1078] DCMP
Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.
Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini