Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Siwajui hawa jamaa na hawana jina kwenye soka la Africa na isitoshe Kipanga ni jamii ya kina Zalan tu siyo kipimo cha kufanya analysis.

Hapa ndio anataka kuona Uprofesa wa Nabi na mikakati ya viongozi wa Yanga.
Kama hujui historia ya mpira wa africa bora ukanyamaza, yaan useme club africain hawana jina kwenye soka la africa, umezaliwa jana au juzi? Maana hawa kila mwaka wapo huko shirikisho washafanya makaz yao kama walivyo pyramid na berkane
 
Hapo Sasa ,ni Original.
Wale walikuwa Chotara wa Kizigua[emoji41]
IMG-20221018-WA0263.jpg
 
Mara ya mwisho Al Ahaly mabingwa wa kihistoria Champions league waliwatowa Yanga chovu kwa penati kwao Cairo, msikariri.
Na we usikariri historia Tu hizo....na wakati huo Al ahly nao walikuwa wachovu ..yanga ilikuwa ya kina Emmanuel okwi, Daniel Ngoma na kina msuva ..ulinzi cannavaro, n golini munishi dida unataka kusema Ile ilikuwa yanga mbovu.? Acha kutuongopea Mzee[emoji23]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kamati ya mazishi mimi naahidi kununua sanda kule Tunisia maana nimesikia mmeamua kwamba mazishi yawe kulekule.
 


Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.

Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.

Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.

Aprili 2, 2023
===

Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.

POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!

POT 1
[emoji1078] TP Mazembe
[emoji1081] ASEC Mimosas
[emoji1159] Djoliba
[emoji1149] Ahli Tripoli
[emoji1029] Primeiro de Agosto
[emoji1235] Royal Leopards
[emoji1059] Kadiogo / [emoji1078] Vita Club

POT 2
[emoji1081] Gagnoa
[emoji1159] AS Real
[emoji1149] Al Akhdar
[emoji1221] Royal AM
[emoji1078] Eloi Lupopo
[emoji1221] Marumo Gallants
[emoji1173] AS FAR
[emoji1093] Future FC
[emoji1077] Diables Noirs

POT 3
[emoji1184] Rivers United
[emoji1184] Plateau United
[emoji1183] Nigelec
[emoji1249] US Monastir
[emoji1213] La Passe
[emoji1244] ASKO de Kara
[emoji1060] Flambeau du Centre
[emoji1221] Cape Town City
[emoji1241] Young Africans

POT 4
[emoji1026] USMA
[emoji1173] RS Berkane
[emoji1093] Pyramids
[emoji1249] CS Sfaxien
[emoji1149] El Nasr
[emoji1249] Club Africain
[emoji1078] DCMP

Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.

Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe

Updates
Young Africans vs Club Africain

Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
Unakuaga na mikosi kila unalo ombea linakwama
 


Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.

Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.

Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.

Aprili 2, 2023
===

Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.

POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!

POT 1
[emoji1078] TP Mazembe
[emoji1081] ASEC Mimosas
[emoji1159] Djoliba
[emoji1149] Ahli Tripoli
[emoji1029] Primeiro de Agosto
[emoji1235] Royal Leopards
[emoji1059] Kadiogo / [emoji1078] Vita Club

POT 2
[emoji1081] Gagnoa
[emoji1159] AS Real
[emoji1149] Al Akhdar
[emoji1221] Royal AM
[emoji1078] Eloi Lupopo
[emoji1221] Marumo Gallants
[emoji1173] AS FAR
[emoji1093] Future FC
[emoji1077] Diables Noirs

POT 3
[emoji1184] Rivers United
[emoji1184] Plateau United
[emoji1183] Nigelec
[emoji1249] US Monastir
[emoji1213] La Passe
[emoji1244] ASKO de Kara
[emoji1060] Flambeau du Centre
[emoji1221] Cape Town City
[emoji1241] Young Africans

POT 4
[emoji1026] USMA
[emoji1173] RS Berkane
[emoji1093] Pyramids
[emoji1249] CS Sfaxien
[emoji1149] El Nasr
[emoji1249] Club Africain
[emoji1078] DCMP

Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.

Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe

Updates
Young Africans vs Club Africain

Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
Asante studio
 
Back
Top Bottom