Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Kwa Mara ya kwanza sina mzuka kabisa na mechi ya jumapili, tunaopenda timu na siyo oyaoya akili zote na nguvu zote tunataka zielekezwe kwenye plyoff hii kuanzia leo, ikiwemo kubook international friends game ugenini Tena kwa Warabu Jirani na Tunisia.

Uongozi wakishindwa kufanya hili nitawashangaa sana.

Nakumbuka Simba ilipoitowa Zamaleki mwaka 2003 iliikalia kambi Oman wiki mbili.
Wachezaji nao wabadilike sasa! Wameanza tabia za kifaza. Hawana kabisa shauku ya kuwaziba midomi wapinzani wwtu wa jadi!
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-160607~2.png
    Screenshot_20221018-160607~2.png
    16.7 KB · Views: 1
Sasa kama ni uongo wewe weka taarifa sahihi
Taarifa sahihi ni kuwa huo uwanja wa Stade olympiaue Hammad Agrebi unamilikiwa na serikali ya Tunisia,
Siku nyingine jifunze kupata taarifa sahihi na sio kukurupuka!
 
Ivi kwa nini as vita hajacheza mpaka leo
Ni kwa sababu wikiendi ambayo Kadiogo ilitakiwa kucheza na AS Vita kulikuwa na mapinduzi ya kijeshi nchini Burkina Faso. Hivyo mechi iliahirishwa kwa sababu za kiusalama. Wameshacheza mechi ya kwanza Wikiendi iliyoisha, mechi ya marudiano imepangwa kufanyika Alhamisi Oktoba 20, 2022 huko Kinshasa.
 
Taarifa sahihi ni kuwa huo uwanja wa Stade olympiaue Hammad Agrebi unamilikiwa na serikali ya Tunisia,
Siku nyingine jifunze kupata taarifa sahihi na sio kukurupuka!
Kwa hiyo kwenye hoja zote umeona ya uwanja tu? Basi tujikite kwenye uwanja huo, Je Club Africain hawautumii kama uwanja wa nyumbani? Hauna capacity ya kubeba watu 60,000? Sio uwanja huo Kipanga alipigwa 7-0?
 
Lakini kwa yule Mwarabu mweusi tulisema iwe jua iwe mvua matokeo yake ikawa bariiiidi. Sasa kumbuka huyu ni Mwarabu mweupe. Basi tucheze na Kipanga kama wote malooser🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
Na trip hii Nabi lazima ajikite kwenye uzalendo

Mshahara hauwezi kununua uzalendo, humu tumekuwa tukiiimba maswala ya kutanguliza utaifa kwanza

Mlivyokuwa mnapiga hayo mayowe kumbukeni naye Nabi alikuwa anawasikia
 


Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.

Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.

Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.

Aprili 2, 2023
============

Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.

POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!

POT 1
🇨🇩 TP Mazembe
🇨🇮 ASEC Mimosas
🇲🇱 Djoliba
🇱🇾 Ahli Tripoli
🇦🇴 Primeiro de Agosto
🇸🇿 Royal Leopards
🇧🇫 Kadiogo / 🇨🇩 Vita Club

POT 2
🇨🇮 Gagnoa
🇲🇱 AS Real
🇱🇾 Al Akhdar
🇿🇦 Royal AM
🇨🇩 Eloi Lupopo
🇿🇦 Marumo Gallants
🇲🇦 AS FAR
🇪🇬 Future FC
🇨🇬 Diables Noirs

POT 3
🇳🇬 Rivers United
🇳🇬 Plateau United
🇳🇪 Nigelec
🇹🇳 US Monastir
🇸🇨 La Passe
🇹🇬 ASKO de Kara
🇧🇮 Flambeau du Centre
🇿🇦 Cape Town City
🇹🇿 Young Africans

POT 4
🇩🇿 USMA
🇲🇦 RS Berkane
🇪🇬 Pyramids
🇹🇳 CS Sfaxien
🇱🇾 El Nasr
🇹🇳 Club Africain
🇨🇩 DCMP

Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.

Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe

Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini

Du! Huu ni mwaka wa taabu kwa Utopolo Jazz; wameruka mkojo wamekanyaga ma.vi. Hali ni mbaya sana kwa wapenzi na mashabiki wa Vyura FC. Hawa fisi mwaka huu wanalo1 Ama kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza!!!!!
 
Hahahaaa haya sasa kazi kwenu utopolo ....kila mnakoenda mnakutana na kigongo yaaan mpaka mkome ...si mda mtapoteana na huyo profesoli Nabi si mda mrefu mnamtupia vilago kwanza 23 tu tunawakanda ..[emoji16][emoji16]
 
Kwa hiyo kwenye hoja zote umeona ya uwanja tu? Basi tujikite kwenye uwanja huo, Je Club Africain hawautumii kama uwanja wa nyumbani? Hauna capacity ya kubeba watu 60,000? Sio uwanja huo Kipanga alipigwa 7-0?
Sasa Kipanga unamfananisha na Yanga?
 
BREAKING NEWS⚡⚡⚡
Katika hali isiyo ya Kawaida klabu ya Yanga sc (utopolo) itakutana na Waarabu wa Tunisia ,Wakongwe wa CAF ,CLUB AFRICAN iliyoweka rekodi ya kumchapa mtu goli SABA mtungi..Yanga hii itakutana na KISANGA cha CLUB AFRICAN katika dimba lao lenye uwezo wa kubeba mashabiki 60,000 Tunisia . kwa kufupisha tu RIP Young Africans mwendo wa Shirikisho utahitimishwa rasmi Tunisia.
 
IMG_6842.jpg

IMG_6843.jpg

IMG_6844.jpg

IMG_6845.jpg

IMG_6846.jpg


Hawa Club African wana Miaka 102 Toka Waanzishe, Wamesha Chukua CAF Champion league, Kwao Wana Makombe kama 13 , Mashabiki wake ni Vichaa Zaidi ya Al Hilali Ya Sudan….. Hawafai wala Kufaaa…. Mwaka huu ndio wapo Motooo kuliko miaka yoyote ilee.

Al Hilali Alisha pigwa 3 moja Kule kwao…. Wao kucheza Ligi Mabingwa Ni Kawaidaa Sanaaaa wanarudi Tanzania Kwa Mara ya Pili katika Huu Mwaka…. wana Ndege yao Binafsi
 
Back
Top Bottom