Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa Simba ni kuwagonga miguu wachezaji wa yanga Ili majeruhi wawe wengi wakianza nyumbani iyo trh 02 Nov. wale mvua23 October vs Simba
NBC
02 Nov vs Club Africain
09 Nov vs Club Africain
Sijui itakuaje.
Wameyakanyaga tenaMasikini weeee...
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.
Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.
Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.
Aprili 2, 2023
============
Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.
POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!
POT 1
🇨🇩 TP Mazembe
🇨🇮 ASEC Mimosas
🇲🇱 Djoliba
🇱🇾 Ahli Tripoli
🇦🇴 Primeiro de Agosto
🇸🇿 Royal Leopards
🇧🇫 Kadiogo / 🇨🇩 Vita Club
POT 2
🇨🇮 Gagnoa
🇲🇱 AS Real
🇱🇾 Al Akhdar
🇿🇦 Royal AM
🇨🇩 Eloi Lupopo
🇿🇦 Marumo Gallants
🇲🇦 AS FAR
🇪🇬 Future FC
🇨🇬 Diables Noirs
POT 3
🇳🇬 Rivers United
🇳🇬 Plateau United
🇳🇪 Nigelec
🇹🇳 US Monastir
🇸🇨 La Passe
🇹🇬 ASKO de Kara
🇧🇮 Flambeau du Centre
🇿🇦 Cape Town City
🇹🇿 Young Africans
POT 4
🇩🇿 USMA
🇲🇦 RS Berkane
🇪🇬 Pyramids
🇹🇳 CS Sfaxien
🇱🇾 El Nasr
🇹🇳 Club Africain
🇨🇩 DCMP
Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.
Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
Hivi vi points vya kupitwa hadi na Namungo bora CAF wavitoe tu. Yanga atabaki tu kua kwenye kamati ya mapokezi ya wapinzani wa Simba.Na hapa yanga asipoingia makundi atabaki vipoint vyake 0.5 Hadi aibu kivitaja
Gemu ilipigwa week end iliyopita ikaisha 0-0 bado gemu ya pili inapigwa weekend hiiNi kweli As Vita Vs Kadiogo haijachezwa,ngoja wajuvi watujuze.
Kuanzia home ndio shidaKuanzia away ndo shida
Mkuu umechambua kwa hisia kali sana utasema ni Mtunisia og hahahahahaView attachment 2391127
View attachment 2391128
View attachment 2391129
View attachment 2391130
View attachment 2391131
Hawa Club African wana Miaka 102 Toka Waanzishe, Wamesha Chukua CAF Champion league, Kwao Wana Makombe kama 13 , Mashabiki wake ni Vichaa Zaidi ya Al Hilali Ya Sudan….. Hawafai wala Kufaaa…. Mwaka huu ndio wapo Motooo kuliko miaka yoyote ilee.
Al Hilali Alisha pigwa 3 moja Kule kwao…. Wao kucheza Ligi Mabingwa Ni Kawaidaa Sanaaaa wanarudi Tanzania Kwa Mara ya Pili katika Huu Mwaka…. wana Ndege yao Binafsi
Kuanzia home ndio shida
Mechi ya pili ndo hua inahitimisha na kuthibitisha nani ana qualify. Hivyo bora umalize home ujue unapanga vipi mechi.Kuanzia away ndo shida
Maombi yako yamejibiwaMungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Angalia Simba ilivyomaliza mechi zake zote kirahisi. Tazama Al Hilal kwenye mechi zake za St.George na Yanga. Kumaliza home ni advantageMechi ya pili ndo hua inahitimisha na kuthibitisha nani ana qualify. Hivyo bora umalize home ujue unapanga vipi mechi.
Hakuna cha home wala wapi usipo jipanga utapigwa popote siku hizi marefa wamenyookaAngalia Simba ilivyomaliza mechi zake zote kirahisi. Tazama Al Hilal kwenye mechi zake za St.George na Yanga. Kumaliza home ni advantage
Simba tunapigia tena, tunajua style za kuwakojoza vizuri tu.Hahahaaa haya sasa kazi kwenu utopolo ....kila mnakoenda mnakutana na kigongo yaaan mpaka mkome ...si mda mtapoteana na huyo profesoli Nabi si mda mrefu mnamtupia vilago kwanza 23 tu tunawakanda ..[emoji16][emoji16]
Kwani Simba si alikuwa anakalia tano tano?Utasikia Yanga wanasema "Hao ni ndugu zetu wa damu kabisa. Wao African Club sisi Young African"
Halafu wanaenda kupokea kipigo kizito wanarudi wanaliaaa.