Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia



Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.

Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.

Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa kuanza Februari 12, 2023 hadi.

Aprili 2, 2023
============

Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.

POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!

POT 1
🇨🇩 TP Mazembe
🇨🇮 ASEC Mimosas
🇲🇱 Djoliba
🇱🇾 Ahli Tripoli
🇦🇴 Primeiro de Agosto
🇸🇿 Royal Leopards
🇧🇫 Kadiogo / 🇨🇩 Vita Club

POT 2
🇨🇮 Gagnoa
🇲🇱 AS Real
🇱🇾 Al Akhdar
🇿🇦 Royal AM
🇨🇩 Eloi Lupopo
🇿🇦 Marumo Gallants
🇲🇦 AS FAR
🇪🇬 Future FC
🇨🇬 Diables Noirs

POT 3
🇳🇬 Rivers United
🇳🇬 Plateau United
🇳🇪 Nigelec
🇹🇳 US Monastir
🇸🇨 La Passe
🇹🇬 ASKO de Kara
🇧🇮 Flambeau du Centre
🇿🇦 Cape Town City
🇹🇿 Young Africans

POT 4
🇩🇿 USMA
🇲🇦 RS Berkane
🇪🇬 Pyramids
🇹🇳 CS Sfaxien
🇱🇾 El Nasr
🇹🇳 Club Africain
🇨🇩 DCMP

Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.

Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe

Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini

Mstaafu Kikwete miongoni mwa wawili wenye akili Yanga aliwahi Kusema.
 
Yanga wamepangiwa hatua ya mtoano dhidi ya Club Africain ya waarabu. Hawa ndio wale waliowapiga Kipanga FC 7-0 huko shirikisho.

Club Africain ni timu Kongwe na walishatwaa ubingwa wa Klabu bingwa Afika mwaka 1991. Hawa jamaa wanamiliki uwanja wao unaobeba watazamaji 60,000/= kama kwa mkapa tu. Wapinzani wao wakubwa na wanaocheza nao derby ni ES Tunis na pia wana upinzani wa jadi na Etoel du sahel na MC Alger ya Algeria.

Club Africain ni timu inayocheza kwa mbinu za hali ya juu wakiwa ugenini huwa wanacheza kwa tahadhari ya kutopoteza mchezo na wakiwa nyumbani huwa wanaachia majini yao yote na ndio kilichomkuta kipanga.

Yanga wasichukulie kuwa hawa ni wepesi kwa kuwa kwenye ligi yao walimaliza nafasi ya 4. Tunajua wenzetu uwekezaji wao ulivyo hata timu za chini zina uwezo mkubwa.

Tarehe 2 November itakuwa kipimo kingine kwa Yanga ambao kwa hapa ndio underdog na wataanzia tena nyumbani kama kawaida.
View attachment 2391040
Habari yako imejaa uongo mwingi,hasa pale ulipoandika wanamiliki uwanja wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 60,000/=
 
Back
Top Bottom