Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Kwani Yanga nayo ni timu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko CAFCC hampambani na mabingwa bali loosers.This time Yanga inatakiwa iwe na spirit ya Kibanga ampiga mkoloni ndio itaheshimika kimataifa, tumeshachoka kuionea Simba, tunawataka hawa hawa mabingwa wenzetu tufunzane adabu.
Hongera now you are talking,hiyo lugha uliongea hapo ni lugha ya majayanti ya soka yanayowaza mpira wa kishindani sio wa mpira kulogana.Kwa Mara ya kwanza sina mzuka kabisa na mechi ya jumapili, tunaopenda timu na siyo oyaoya akili zote na nguvu zote tunataka zielekezwe kwenye plyoff hii kuanzia leo, ikiwemo kubook international friends game ugenini Tena kwa Warabu Jirani na Tunisia.
Uongozi wakishindwa kufanya hili nitawashangaa sana.
Nakumbuka Simba ilipoitowa Zamaleki mwaka 2003 iliikalia kambi Oman wiki mbili.
YaniiiNyamaza yanga mdomo mno
Kulikuwa na haja ya kuandika goli alizokula kipanga?[emoji23]Tunisia. Iliipiga Kipanga 7
Yap..... wasicheze hapa afrika mashariki..... lakini sijui kama ratiba itawarusuNa mechi hizo waende Morocco au Misri au Algeria.
Na GSM afunguwe bahasha Sasa siyo ziishie kwa kina Arajiga tu.
Tuko serious na hili kuliko unavyofikiria, this time utaona mabadiriko, hizi mechi lazima uzicheze nje wa uwanja kwanza halafu ndio unawaachia wachezaji na kocha wao wamalizie uwanjani.Unajua naanza kuona bora, wangepangwa na Pyramids au Berkane labda s wangechukulia serious wakajipanga na wakawatoa kwa mkapa,ila kwa sbb wanaona hii timu sijui ni aje vipi vidharau vimeanza kuna mdau hapo juu kasema eti hivi vi timu vya watsup sasa watakachokipata msimtafute mchawi.
Imeshindikana kwa Al Hilal ambayo Ali Kamwe alidai ni wepesi kwa Yanga sembuse Wa Tunisia? Kumbuka the more you go to north the more close to Europe where soccer giants dwell.Hio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekana
Kwa bajeti gani?Naamini yanga akitafuta mechi 2 za kirafiki za kimataifa nje ya Tanzania anawatoa hao waarabu
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ikiwa hivyo basi mnaweza vuka round ya kwanzaTuko serious na hili kuliko unavyofikiria, this time utaona mabadiriko, hizi mechi lazima uzicheze nje wa uwanja kwanza halafu ndio unawaachia wachezaji na kocha wao wamalizie uwanjani.
Sitaki kuona inatumika nguvu kubwa kuwafunga Simba, sisi wenye timu tunataka akili yote iende kwenye playoff Tena mechi ya kwanza tumalizane nao Dar.
2-2 game ya kwanza[emoji2]Itakuwa ni jumatano ya mwezi wa 11
View attachment 2391037
Kwakuwa tunaanzia nyumbani inatakiwa Yanga ilete timu Dar ya kupimana mayo, lakini italeta maana kama unapata timu kutoka ukanda ule wa Waarabu.Yap..... wasicheze hapa afrika mashariki..... lakini sijui kama ratiba itawarusu
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
.Walete hao Club Africain na yeyote tutakayepangiwa kwa sababu hakuna hata sehemu moja iliandikwa kuna timu. Hizo timu zote mpaka kufika hapo ni ngumu so yoyote atakayekuja tutapambana na kuonyesha nini tunaweza kufanya.
Yanga Daima Mbele kwa Mbele Nyuma Mwiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiwafunga hawa tunaingia makundi hakuna cha round Tena, walishachujana mwenyewe wakati sisi tupo champions league.Ikiwa hivyo basi mnaweza vuka round ya kwanza
Kwa ratiba zilivyobanana saiv kuipata timu ya game ya kirafiki ni kazi sanaKwakuwa tunaanzia nyumbani inatakiwa Yanga ilete timu Dar ya kupimana mayo, lakini italeta maana kama unapata timu kutoka ukanda ule wa Waarabu.
Kwahiyo mnakubali kwamba Zalan alikuwa ni kibonde wa kutupwa, sasa zile kelele zenu kipindi kile zilikuwa ni za nini?Wekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?
Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Mmeshaanza uchawi, unaweza usiwe hai hiyo siku ya mechi ukafa siku chache tu zijazo.2-2 game ya kwanza[emoji2]
Okey yess.Tukiwafunga hawa tunaingia makundi hakuna cha round Tena, walishachujana mwenyewe wakati sisi yupo champions league.