Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Nikiwa kama mwana Yanga kindaki ndaki naomba tupangwe na Club Africain tuonyeshe ubabe wetu AFRICA.
Hahaha hapa mtayavaa, kwa zile beki zenu jamaa watakuwa wanapiga penetaration passes za kumwaga, kule kwao uhakika wa wao kuwafunga goli 4 upo kabisa.

Ili mpite inatakiwa muwafunge goli kuanzi 4 pale taifa, bila kuruhusu wao kupata goli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga huu ndio muda wao wa kuanza kuseti maandalizi ya mechi

Nimejaribu kuangalia hali ya hewa ya siku hiyo na kwa mujibu wa TMA ni kuwa Mvua zinatarajiwa kuanza kati ya wiki ya nne ya Oktoba na wiki ya kwanza ya Novemba, 2022.

Wiki ya kwanza hapo ndio 1st leg ya Yanga ilipo, wawe na mkakati wakujua namna ya ku dili na hali ya hewa siku hiyo maana wao na mvua hawapatani
 
Mwaka wa tabu huu! Kuanzia tena nyumbani, siyi jambo jepesi hata kidogo kwa wananchi.
Sio mwaka wa tabu ila point zenu ndogo siku zote ndo zimekuwa zikiwahukumu, always mdogo atapangiwa mkubwa na mdogo ni lazima aanzie nyumbani ili kuipa favour team kubwa, unajua ni kwanini?

Ni kwasababu lengo lao huwa ni kuchuja team ndogo zisipenye ile kuleta ushindani kwenye hatua ya makundi, sasa ukiziache team ndogo ziingie makundu ni lazima utaua vibe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia msije mkamtimua kocha hyo jpili.
Kwa Mara ya kwanza sina mzuka kabisa na mechi ya jumapili, tunaopenda timu na siyo oyaoya akili zote na nguvu zote tunataka zielekezwe kwenye plyoff hii kuanzia leo, ikiwemo kubook international friends game ugenini Tena kwa Warabu Jirani na Tunisia.

Uongozi wakishindwa kufanya hili nitawashangaa sana.

Nakumbuka Simba ilipoitowa Zamaleki mwaka 2003 iliikalia kambi Oman wiki mbili.
 
Unajua naanza kuona bora, wangepangwa na Pyramids au Berkane labda s wangechukulia serious wakajipanga na wakawatoa kwa mkapa,ila kwa sbb wanaona hii timu sijui ni aje vipi vidharau vimeanza kuna mdau hapo juu kasema eti hivi vi timu vya watsup sasa watakachokipata msimtafute mchawi.
 
WANANGU WA CLUB AFRICAIN TUJUANE MAPEMA KBSA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Unajua naanza kuona bora, wangepangwa na Pyramids au Berkane labda s wangechukulia serious wakajipanga na wakawatoa kwa mkapa,ila kwa sbb wanaona hii timu sijui ni aje vipi vidharau vimeanza kuna mdau hapo juu kasema eti hivi vi timu vya watsup sasa watakachokipata msimtafute mchawi.
Nyamaza yanga mdomo mno
 
Back
Top Bottom