Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Maumivu yako pale pale kudadadeq
IMG-20221018-WA0008.jpg
 
Utopolo sasa ndo muache kujimwambafai mfanye mazoezi muache mpira wa mdomoni na kudharau wapinzani wenu. Kwa sasa mtaanza kujipa matumaini kuwa hyo nchi Nabi anaijua vzr kuwa mtapenya na kumvimbisha kichwa Manywele kuwa atapiga hatrick.
 
Achana na Kipanga, yapo vizuri. Ni kama kina Berkane na Pyramid tu. Hawapati nafasi champions kwa sababu ya matimu makubwa yanaingia 2
Hio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekana
 
Wekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?

Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Kilichobaki ni wewe kuingiza timu yako kwenye maombi idadi ya goli ipungue
 
Wekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?

Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Fact ya kwanza ya kuzingatia kabla hujaangalia rekodi unatakiwa ujue timu ambayo ni mbovu ndio huanzia nyumbani
 
Hio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekana
Kwa hiyo imerudi kama ilivyokuwa? November sio mbali
 


Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.

POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!

POT 1
🇨🇩 TP Mazembe
🇨🇮 ASEC Mimosas
🇲🇱 Djoliba
🇱🇾 Ahli Tripoli
🇦🇴 Primeiro de Agosto
🇸🇿 Royal Leopards
🇧🇫 Kadiogo / 🇨🇩 Vita Club

POT 2
🇨🇮 Gagnoa
🇲🇱 AS Real
🇱🇾 Al Akhdar
🇿🇦 Royal AM
🇨🇩 Eloi Lupopo
🇿🇦 Marumo Gallants
🇲🇦 AS FAR
🇪🇬 Future FC
🇨🇬 Diables Noirs

POT 3
🇳🇬 Rivers United
🇳🇬 Plateau United
🇳🇪 Nigelec
🇹🇳 US Monastir
🇸🇨 La Passe
🇹🇬 ASKO de Kara
🇧🇮 Flambeau du Centre
🇿🇦 Cape Town City
🇹🇿 Young Africans

POT 4
🇩🇿 USMA
🇲🇦 RS Berkane
🇪🇬 Pyramids
🇹🇳 CS Sfaxien
🇱🇾 El Nasr
🇹🇳 Club Africain
🇨🇩 DCMP

Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.

Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe

Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini

Mkuu ww ni Yanga!!???
unatufatilia kila kona!!?
 
Back
Top Bottom