Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Umepewa ulichoomba! Lkn wewe ni mwanayanga kweli??Nikiwa kama mwana Yanga kindaki ndaki naomba tupangwe na Club Africain tuonyeshe ubabe wetu AFRICA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepewa ulichoomba! Lkn wewe ni mwanayanga kweli??Nikiwa kama mwana Yanga kindaki ndaki naomba tupangwe na Club Africain tuonyeshe ubabe wetu AFRICA.
Ukiachana na hiyo naskia kulikuwa na mashuti 9 yaliyogonga mwamba
Slogan ya sasa iweMwaka wa tabu huu! Kuanzia tena nyumbani, siyi jambo jepesi hata kidogo kwa wananchi.
Wekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?Ukiachana na hiyo naskia kulikuwa na mashuti 9 yaliyogonga mwamba
We unaisema mechi ya mwisho ambayo Kipanga alikuwa away, hapo ilikuwa ni Kipanga akiwa ZenjiMhhh mbona nilioga aggr kama 7 kwa sufuri au ni nini kile?
Hio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekanaAchana na Kipanga, yapo vizuri. Ni kama kina Berkane na Pyramid tu. Hawapati nafasi champions kwa sababu ya matimu makubwa yanaingia 2
I thought u always too smart for this. Lakini nimegundua Kolo ni kolo tu siku zoteeHuu ussenge sasa. Yani Barbara anafanya fitina tupangiwe na waarabu Club African ili tutolewe mapema?
Tusikubali huu uonevu wana yanga, tusikubali.
Kilichobaki ni wewe kuingiza timu yako kwenye maombi idadi ya goli ipungueWekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?
Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Fact ya kwanza ya kuzingatia kabla hujaangalia rekodi unatakiwa ujue timu ambayo ni mbovu ndio huanzia nyumbaniWekeni hapa record yao kwenye soka la Africa tuache mbambamba, Sasa Kipanga na Zalan wana tofauti gani?
Timu za Zanzibar zipambane kwanza kuchukuwa kombe la mapinduzi ndio uwalete huku, kumbe la mapinduzi tu linawashinda.
Kwa hiyo imerudi kama ilivyokuwa? November sio mbaliHio timu unaifagilia sana ni ya kawaida tu ilipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa ndo imerudi hivo kama Yanga itaweka mikakati mizuri inawezekana
Wakuu droo inafanyika leo kuanzia saa 8 mchana. Kupitia Azam HD tutajua ndugu zetu Utopolo watapangiwa na nani.
POTS for CAF Confederation Cup PLAY-OFF ROUND!
POT 1
🇨🇩 TP Mazembe
🇨🇮 ASEC Mimosas
🇲🇱 Djoliba
🇱🇾 Ahli Tripoli
🇦🇴 Primeiro de Agosto
🇸🇿 Royal Leopards
🇧🇫 Kadiogo / 🇨🇩 Vita Club
POT 2
🇨🇮 Gagnoa
🇲🇱 AS Real
🇱🇾 Al Akhdar
🇿🇦 Royal AM
🇨🇩 Eloi Lupopo
🇿🇦 Marumo Gallants
🇲🇦 AS FAR
🇪🇬 Future FC
🇨🇬 Diables Noirs
POT 3
🇳🇬 Rivers United
🇳🇬 Plateau United
🇳🇪 Nigelec
🇹🇳 US Monastir
🇸🇨 La Passe
🇹🇬 ASKO de Kara
🇧🇮 Flambeau du Centre
🇿🇦 Cape Town City
🇹🇿 Young Africans
POT 4
🇩🇿 USMA
🇲🇦 RS Berkane
🇪🇬 Pyramids
🇹🇳 CS Sfaxien
🇱🇾 El Nasr
🇹🇳 Club Africain
🇨🇩 DCMP
Droo itafanyika kwa Timu za Pot 1 kwa Pot 2. Pia Pot 3 kwa Pot 4. Timu 2 zitakazobaki itafanyika droo ya zenyewe kwa zenyewe.
Mungu ibariki Yanga ipangiwe kati ya Berkane, USMA, Pyramids, CS Sfaxien na Club Africain. Kisha watujibu kama hili ni kombe la looser au vepe
Updates
Young Africans vs Club Africain
Kifupi wameingia mtumbwi wa vibwengo. Ataanzia hapa kisha ugenini
SawaWe unaisema mechi ya mwisho ambayo Kipanga alikuwa away, hapo ilikuwa ni Kipanga akiwa Zenji
View attachment 2391031
Kuna shida gani ukiweka record yao hapa tujuwe ubora wao? Timu yenyewe ndio tunaisikia leo, Yanga imecheza na miamba ya Misri achana na hivi vitimu vya Wasapu.Kilichobaki ni wewe kuingiza timu yako kwenye maombi idadi ya goli ipungue
Niombe radhi,siwezi kuwa YangaMkuu ww ni Yanga!!???
unatufatilia kila kona!!?