Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hahaah mkuu mi nina huruma humu najitoa tuu ufahamu kidogo.Angalau hapa umeonesha uanamke una huruma, si haya majangiri kina Boban Sunzu na mwenzake Scars.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaah mkuu mi nina huruma humu najitoa tuu ufahamu kidogo.Angalau hapa umeonesha uanamke una huruma, si haya majangiri kina Boban Sunzu na mwenzake Scars.
Mi kwa mapyramids nilisema akhaaaa
Ila hawa wanaweza wakavaana
Sio Club African. Yanga imepangiwa na Pyramids ya Misri. Kauli mbiu yao ni IWE MVUA IWE JUA watapindua meza kibabe. Ila kwa mimi PARAPANDA yao imefika
Mhhh mbona nilioga aggr kama 7 kwa sufuri au ni nini kile?
Siwajui hawa jamaa na hawana jina kwenye soka la Africa na isitoshe Kipanga ni jamii ya kina Zalan tu siyo kipimo cha kufanya analysis.
Achana na Kipanga, yapo vizuri. Ni kama kina Berkane na Pyramid tu. Hawapati nafasi champions kwa sababu ya matimu makubwa yanaingia 2Siwajui hawa jamaa na hawana jina kwenye soka la Africa na isitoshe Kipanga ni jamii ya kina Zalan tu siyo kipimo cha kufanya analysis.
Hapa ndio anataka kuona Uprofesa wa Nabi na mikakati ya viongozi wa Yanga.
Hahahaahhhah sasa hivi sasa mnaanza kujipata kidogoo badae akili zitakaa sawa na mkijua mnapoteza mpunga mrefu lazima mkomae mfike kwwny robo finaleHuu ujinga wa Manara hebu peleka huko, tunataka makundi.
Sasa si kwasababu ni timu ndogoMwaka wa tabu huu! Kuanzia tena nyumbani, siyi jambo jepesi hata kidogo kwa wananchi.
Waarabu sio watu wazuri, Simba ndio wanawaweza sisi utopolo hatujawahi kuwafunga waarabu huu ni uonevu wa Barbara wa wazi wazi kabisa.Tupe rekodi ya hao Waarabu kwenye soka la Africa, Mimi ndio nawasikia leo.
Afu sijajua kama nako kule zipo ngamia za kupanda kama SudanKwa hiyo unamaanisha huyu ni Mwarabu tena. Ngoja nikameze panado mkuu.
Huyo Dhaouadi kanitisha
Kwa Mkapa november 2 alafu marudiano november 9 Tunisia machinjioni huko a.k.a Gongo la mboto.Hii mechi ni tarehe ngapi?