Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hawezi panda tiles za chooni peke yake aulize Kipanga
Pyramid alikuwa anamlia karanga na mihogo mibichi ila mwana kaepushwa na zaliHawezi panda tiles za chooni peke yake aulize Kipanga
Afadhali hawa tutawapiga kama ngoma.Yanga vs club african
Sio Club African. Yanga imepangiwa na Pyramids ya Misri. Kauli mbiu yao ni IWE MVUA IWE JUA watapindua meza kibabe. Ila kwa mimi PARAPANDA yao imefikaHatimaye wananchiiiiii timu ya yanga kukutana na club african
Hawa ndiyo waliwapiga Kipanga 7Yanga vs club african
Kwa hiyo unamaanisha huyu ni Mwarabu tena. Ngoja nikameze panado mkuu.Club Africain ni ya Tunissia
Siyo mdomoni, inahitajika mikakati kabambe na Profesa Nabi Tunisia ndio kwao asituletee masihara tumeshavurugwa.Afadhali hawa tutawapiga kama ngoma.
Yap ni mtunisia na lazima aibebe nchi yakeSi ndio kwao Profesa Nabi? Na hapa atatuambia nini?
Mechi iliyochezwa Zanzibar matokeo yalikuwaje?
0-0 bora hawa mara mia kuliko BERKANE or PYRAMIDS ni timu nzuri but you can't compare with those teamsMechi iliyochezwa Zanzibar matokeo yalikuwaje?
Sio ya taifa ila ni ya home ambako Nabi anatokeaKwani ni timu ya Taifa hiyo?
Angalau hapa umeonesha uanamke una huruma, si haya majangiri kina Boban Sunzu na mwenzake Scars.Mi kwa mapyramids nilisema akhaaaa
Ila hawa wanaweza wakavaana
Acha kujidanganya kabisa mkuu.Afadhali hawa tutawapiga kama ngoma.