Wanaishia kuangalia TBC tu, ndiyo huwa haikatwi forever!![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Nimegundua watu wengi wananunua DStv ni show off TU Yan [emoji23], wengi hawavilipii kabisa, polen sana wajameni,
Lisemwalo lipoHakuna kitu kama hicho. Hayo ni maneno ya mitaani na kwenye magroup ya WhatsApp na mitandaoni.
DStv ni rahisi na tunalipa acha uongoNimegundua watu wengi wananunua DStv ni show off TU Yan [emoji23], wengi hawavilipii kabisa, polen sana wajameni,
Uongo mtupuNyie mnaoangalia dstv muwe mna control Tv zenu maana ushoga huko ni nje nje...watt na hizo cartoon zipo free exposed na zina maudhui ya kimagharibi...ni hayo tuu...
Yani Kuna watu waongo sana jamani dah!! Hivi kuzusha umbea inasaidia nn!!?Hakuna kitu kama hicho. Hayo ni maneno ya mitaani na kwenye magroup ya WhatsApp na mitandaoni.
Channel gani hizo?dstv hawana jipya muvi wanarudia zile zile kila siku mimi nimeshaghairi nitaangalia upendo tv basi inatoshaNdio, vitu vizuri ni gharama. Nimewauliza kwanini wanapandisha wamenijibu kwa sababu wameongeza chaneli nyingi na hawajapandisha kwa muda mrefu
Ukinunua si unapewa offer🤣🤣🤣 ila ikikata kuunga kama ile kipengele😀Nimegundua watu wengi wananunua DStv ni show off TU Yan 😂, wengi hawavilipii kabisa, polen sana wajameni,
Naomba majina ya hizo Channel mkuuKuna channel baadhi za katuni nimezipga pin. Ni vizuri ukiwa na watoto ujue wanatazama nini na sio kila muda.
Maisha ya Sasa kila kitu lazima ujiunge,usipojiuunga unaachwa kweli hii Dunia ya Kibepari! Hata Mkataba wa DP lazima ujiunge kwanza!!Ukinunua si unapewa offer[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila ikikata kuunga kama ile kipengele[emoji3]
Nini mbadala wa Dstv!!??Dstv channel nyingi za hovyo pesa haiendani na hizo gharama zao...
Hahahah unaachwa NanjaMaisha ya Sasa kila kitu lazima ujiunge,usipojiuunga unaachwa kweli hii Dunia ya Kibepari! Hata Mkataba wa DP lazima ujiunge kwanza!!
Azam anayo EPL??Azam anapiga jalamba wapandishe tu
Majibu ya kindezi mnoNdio, vitu vizuri ni gharama. Nimewauliza kwanini wanapandisha wamenijibu kwa sababu wameongeza chaneli nyingi na hawajapandisha kwa muda mrefu
Ndio dawa yao [emoji23]Dah nina miezi 8 sijaweka kifurushi washanipigia simu hadi wamechoka. Naishia kuwatongoza tu.