Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Bado ligi ya Uingereza Hawajaanza kutoa leseni Hizo kwetu, ngoja tuone mnada ukianza, kikawaida Kusini mwa jangwa la Sahara anauziwa Mtu mmoja tu.Nilisikia sehemu kuwa Canal+ wapo kwenye mchakato wa kuomba leseni kwa ukanda mzima wa East African.
Kuna tofauti kidogo... TBC ina sifu juhudi 98%, ITV pamoja na vitisho na kufanya kazi kwa woga bado mapambio hayajafika hata 30%! Ukitune in TBC unaweza kudhani uko kweye korido za Lumumba pale ofisi ndogo ya chamaKwani kwa sasa ITV ina utofauti gani na Tbc mkuu?
Saasawa, ChiefUwanjani kuna Camera, zile camera zina record tukio halafu video husika inaenda kwenye storage device kama Ni hard disk ama memory card then kutokea hapo inapelekwa kwenye kituo husika na kurushwa hewani ili watazamaji waone. Hivyo tukio la Kurekodi lazima liwepo.
Kuhusu kuchelewa nafikiri ni sababu ya Satelite, Siku zote satelite inakuwa na latency kubwa, video ikifika kituoni irushwe kwenye satelite kwanza mpaka ifike halafu itoke kwenye satelite ije kwenye Dishi lako inachukua muda.
Mkoa gani mkuu? Hopeful wapo na Arusha as wellMkuu nimeulizia canal dish na king’amuzi chake hapa wanauza laki 300k complete
Mkoa gani mkuu? Hopeful wapo na Arusha as well
Hivi vipo kigoma tu mkuu?Unatuma hela kwanza then unasema mahali ulipo unatumiwa mzigo wako,Kama upo Dar unaufuta pale Ubungo Stand.
Ndio kina HDMI Port pamoja na Waya wake.
DSTV kama mtu huna uwezo wa kulipia kifurushi cha
Premium na Compact Plus halafu bado unatumia DSTV
Asee wewe ni moja ya wale watu majeuri sio kawaida.
Mtu mwenye DSTV halafu analipia kifurushi cha BOMBAHahaha mimi hata kile COMPACT ni mtihani kulipia, mwisho wangu ni BOMBA, sasa nimeamua kuhamia Canal+ naenjoy soka safi tena kwa HD.
authorities must stop this Multichoice's consumer manipulation immediately..... this increase amounts to bloody daylight robbery!!Mwaka mmoja baada ya kushusha bei ya vifurushi vyake, kampuni ya Multichoice kupitia Digital Setilitte Television (Dstv) imetangaza bei mpya ya vifurushi vyake. Bei hizo zitaanza rasmi Septemba mosi mwaka huu. Bei mpya ya vifurushi vya Dstv ni kama inavyoonekana hapo pichaniView attachment 1525171
Ndugu mwana JF ukiwa kama mdau wa Dstv unamaoni gani kuhusu bei hizi mpya? Na ungependa nini kiongezwe au kipunguzwe ili kuendana na bei mpya ya mwezi Septemba??
NdioHivi vipo kigoma tu mkuu?
Ulinunulia wapi na huyo aliekuuzia alikupa maelekezo gani?Msaada: Nimenunua Decoda ya Canal + imefanya kazi 24hrs ikakata , Anayeweza kunisajilia decoda yangu ya CANAL+ tuongee bei.
Ulinunulia wapi na huyo aliekuuzia alikupa maelekezo gani?
Duuh sasa ntajuaje kuwa huku nilipo signal zake zipo?Ndio
Duuh sasa ntajuaje kuwa huku nilipo signal zake zipo?
Wewe upo wapi? Maana yangu kuwa upatikanaji wake ni Kigoma lakini unaweza kukifunga na kukitumia ukiwa sehemu yoyote Tanzania.Duuh sasa ntajuaje kuwa huku nilipo signal zake zipo?