DSTV yalamba hasara ya bilioni 122, gharama za vifurushi zawakimbizia wateja 486,000

mkuu wangu mungu anakuona
 
Vifurushi vya DStv zilipanda Kwa Africa nzima sio Tanzania Tu hii imetokana na kupanda Kwa Dola hata hivyo wao wenyewe DStv wapo mbioni kubadilisha Makato ...
Toka December wameanza kutoa ofa mbalimbali za vifurushi
DSTV kwa ujio wa Streaming wanapoteza wateja kila kukicha Afrika kote.2024 Netflix na Amazon Prime wanaanza Services zao South Africa ambako ndo base kubwa ya DSTV kwa Afrika nzima.DSTV Wana miaka 3 mbele kabla Awajafungasha vilago na kutoka kwenye ulimwengu wa Pay TV.Either na yeye aanzishe Streaming Services na aje na Bei nzuri vinginevyo atoboi
 
Kwa maelezo yako ni kweli DStv anatakiwa kujipanga upya..
Gharama za streaming live za netflix na Amazon zipoje? Kama zitakuwa chini wengi tutakimbilia huko
 
DSTV inatakiwa ajipange hasa ukanda huu wa jangwa la Sahara,Mchina (Star Media) inakuja kwa kasi sana, sasa hivi mashindano yote yanayomilikiwa na Caf ameyashika sana,na Star times akisema anaonyesha mashindano yoyote huwa haachi hata mechi moja
Star times inakuja kwa kasi sana halafu garama zake ni mserereko
We fikikilia unatazama mechi zote za Afcon, Caf champions league na caf Confederation cup kwa TSH 23000 ambayo hakuna kampuni yoyote inayotoza kwa bei hiyo
 
Dstv S.A itakufa na ndiko walipokuwa na wateja wengi. Unaambiwa watu wanahamia kwenye TV mtandao sasa hivi.
 
Mumbwa wewe!
Huyo Magufuli bado yupo?
Serikali mbona inakopa mara 5 zaidi ya Magufuli na maisha yanazidi kuwa magumu?
Au unazani wote ni mazuzu km wewe.
Tupe mfano wa hayo matrilioni aliyokopa Magufuli mimi nikueleze matrilioni aliyokopa Samia.
 
Mumbwa wewe!
Huyo Magufuli bado yupo?
Serikali mbona inakopa mara 5 zaidi ya Magufuli na maisha yanazidi kuwa magumu?
Au unazani wote ni mazuzu km wewe.
Tupe mfano wa hayo matrilioni aliyokopa Magufuli mimi nikueleze matrilioni aliyokopa Samia.
Wewe kiazi kweli. Kwa hiyo hata kama hayupo kwani alipokufa alikufa na madeni yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…