Dua za kuombea utiaji saini mkataba wa Bandari zina unafiki mkubwa

Acha udin ipo siku utapewa bom akajilipue na utakubali.........
Kumbuka hata uo uislam ulianzishwaa na maskofuuu........
 
BAKWATA, TEC,CCM na serikali ni kitu kimoja.Kama alishaombea Sheikh Zuberi inatosha!
Juzi kati Mama alipita Tabora pale na akapokewa vizuri na Cardinal Rugambwa alafu baadaye kidogo tukatangaziwa mkataba kusainiwa;waache hao wanajuana!
 
Wameshindwa hata kutaja neno "bandari"?

Wale ni zaidi ya nyoka.

Na jana imewauma sana, huku Kikwete, Kula Mama Samia, pale Sultan, kule Mbarawa.

Khatr kubwa.
Safi sana Bandari yetu wacha wawekeze tupate pesa.
 
KamlalamikieMungu maana unakuja kwetu na sisi tukusaisiaje sasa
 
Na kukuza dini pia.
Hamna kitu kama hicho ni upotoshaji tu mtu yupo kwenye investment na dini wapi na wapi tatizo watu mkiona muarabu ndio mnaona ni uislamu , waswahili wanasema sio kila mzungu padri
 

Always when you speak,i pay my whole attention to listen and learn,

Thats just because wewe ni mtu usiependa KUSEMA UONGO NA DHULMA,NA DAWA YA DHULMA NI KUISEMA NA KUIKATAA WAZI WAZI KAMA HIVI,NI UKWELI ULIO WAZI KABISA KUWA TEC WAMEKUWA USELESS EATERS OF THIS COUNTRY FOR SOME MANY MANY YEARS,KWANGU MIMI NAWAONA KAMA NI WAKOLONI WEUSI TUH,TUNAISHI NAO KWA KUWA HAKUNA JINSI.

ENDELEA KUPIGA SPANA.
 
Mnafiki MKUBWA na mshirikina ni wewe unayetaka kuelekeza mtu aliyeamua kuongea na Muumba eti aombee nini na namna gani.
Ni unafiki MKUBWA ndiyo kuelekeza watumishi wa Mungu kufanya ushirikina!!
 
Mnafiki MKUBWA na mshirikina ni wewe unayetaka kuelekeza mtu aliyeamua kuongea na Muumba eti aombee nini na namna gani.
Ni unafiki MKUBWA ndiyo kuelekeza watumishi wa Mungu kufanya ushirikina!!
Usikurupuke, msikilize askofu msikilize na Sheikh, utauona unafik uko wapi.
 
Wameshindwa hata kutaja neno "bandari"?

Wale ni zaidi ya nyoka.

Na jana imewauma sana, huku Kikwete, Kula Mama Samia, pale Sultan, kule Mbarawa.

Khatr kubwa.

KAMA WAMEUMIA WAHAMIE VATICAN,SASA WAO KWA AKILI YAO WAKITAKA MIKATABA YA KUENDELEZA BANDARI TUINGIE NA NANI,TUINGIE NA PAPA??KWANZA NANI KAWAAMBIA ITALY KUNA HELA??

ZAIDI ZAIDI KULE NI WAUZA UNGA TUH KULE SICILY,TUWAPE WAO BANDARI KISHA WAIGEUZE LANGO LA KUPITISHA MISALABA NA DRUGS??NO WAY ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…