Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Dua zenu zimekubaliwa: Kenya haitaagiza tena chakula kutoka Tanzania 2023

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20221217-135528.png


Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
 
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.

Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.

Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
 
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania. Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.
Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Ndio maana kapeleka huko jeshi?
 
View attachment 2449797

Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
Unamlaumu nani?
 
View attachment 2449797

Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika

Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo

Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani

Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji

Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika

Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika
Nchi ya wavivu?

J
 
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.

Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.

Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Una uhakika au unaleta story za uharo hapa?
 
Huwezi kupeleka watu wakafe huko bila kuwa na maslahi, miaka yote hiyo hawakupeleka majeshi leo hii Kenya wako huko japo wana kipolo Somalia ambacho kimevunda miaka.
Tanzania ina masilahi gani Kongo? Au kule Msumbiji pia Rwanda ina jeshi je wana masilahi gani? Burundi ina jeshi Somalia je Wana masilahi gani? Mambo memgine kama.haya yana kuzidi uwezo, ni bora ukajadili maada za fumanizi ndio levo zako
 
Hivi ni sifa kutumia maneno ya chooni?... Uhakika kwenye lipi wakati matukio haya yalijadiliwa miaka iliyopita?.
Una uhakika ua ni unaleta story za vijiwe vya kahawa humu?
 
Tanzania ina masilahi gani Kongo? Au kule Msumbiji pia Rwanda ina jeshi je wana masilahi gani? Burundi ina jeshi Somalia je Wana masilahi gani? Mambo memgine kama.haya yana kuzidi uwezo, ni bora ukajadili maada za fumanizi ndio levo zako
Soma mada vizuri ueielewe ndio uanze kujadili, lakini pia siyo lazima ujadili kama hujui cha kujadili.
 
Ni kosa kubwa sana la kiuchumi kulipoteza soko la nafaka la Kenya.

Soko hutafutwa, na likipatikana hulindwa. Watanzania kama kweli tuna akili, hatukustahili kabisa kulalamika kama nafaka zetu zilikiwa zinatoka nje ya mipaka ya nchi yetu. Hiyo ilikuwa ni fursa nzuri sana kiuchumi. Ulikuwa ni wakati wa kuzidisha uzalishaji kwa nguvu zote.

Kwa mvua zinavyoendelea **** uwezekano wa kuwa na mahindi mengi mwakani. Ikiwa hivyo, utakuwa ni mwaka wa kuwaua wakulima.
 
Una uhakika ua ni unaleta story za vijiwe vya kahawa humu?
Huwa siandiki kitu nisichokuwa na hakika nacho. wewe kama hufuatilii matukio usituharibie uzi.
 
Kwa
Ruto akiwa makamo wa Rais alihusishwa na njama ya Kenya kusitisha manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania.

Hiyo ilitokana na Ruto kufadhili mashamba makubwa ya mahindi nchini DRC ambapo inadaiwa kuwa alijipanga kutoa huduma hiyo kuanzia miaka ya 2020 lakini mpango ukabuma.

Kuna wakati mahindi yetu yalikataliwa kuingia Kenya kwa sababu yameathiriwa na sumu kuvu. Hivi sasa yuko kiti kirefu, inawezekana Amerika kusini inapakaziwa tu, karibu zaidi kama siyo Tanzania basi ni DRC.
Kwa hiyo mipaka iliyofunguliwa itafungea tena?

Au nae kakumbuka Mambo ya kuchoma vifaranga?

Nasubili kuona kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom