Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika
Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu wa chakula kwa mwaka 2023 kwa kuwa uzalishaji wa ndani ni mdogo
Hii ni habari njema kwa wale waliokuwa wakitaka serikali ifunge mipaka ili tusiuze chakula nje, bei ishuke ndani
Naona Kenya wameamua kufanya biashara na nchi zinazojielewa, zenye uhakika wa uzalishaji
Sio kufanya biashara na nchi ya wavivu na walalamishi wasiotaka kulima ili kujitosheleza kwa chakula chake wenyewe, inakuwa ni biashara isiyokuwa ya uhakika
Na kwa kukosekana kwa soko la Kenya, kilimo sasa kitakuwa ni zaidi ya biashara kichaa, wataendelea kulima losers waliokosa ishu ya kufanya mjini, ila sidhani kama kuna mtu mwenye mtaji serious ataenda kuwekeza kwenye bidhaa isiyokuwa na soko la uhakika